• English
  • Kiswahili
  • Barua Pepe
  • Wasiliana Nasi
  • e-Vibali
  • e-Malalamiko
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Maelezo Kuhusu Wizara
    • Dira & Dhima
    • Muundo
  • Idara na Vitengo
    • Idara
      • Uendelezaji wa Mifumo na Huduma za TEHAMA
      • Mawasiliano
      • Sera na Mipango
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Miundombinu ya TEHAMA
      • Usalama wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
  • Sera & Sheria
    • Sera
    • Sheria na Kanuni
    • Mikakati
    • Miongozo
    • Viwango
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Bajeti
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
  • Miradi
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Usalama wa Mtandao
    • TZ-CERT
    • Mikataba ya Makubaliano
    • Mahusiano ya Kimataifa
  • Tafiti & Ubunifu
    • Usajili Wataalam wa TEHAMA
    • Kampuni Changa za TEHAMA
    • Uendelezaji wa Mifumo ya TEHAMA
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Anwani za Makazi
    • NaPA
    • Miongozo
  • Kongamano la TACPA 2026
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Waziri
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Naibu Waziri
Bw. Mohammed Khamis Abdullah
Bw. Mohammed Khamis Abdullah
Katibu Mkuu
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (MB), alipokea tuzo kwa niaba ya Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, kutoka kwa Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama wakati wa Hafla ya Kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Anwani za Makazi, yaliyofanyika leo, tarehe 08 Februari 2026, katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (MB), alipowasili katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam, kumuwakilisha Mheshimiwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Anwani za Makazi kwa mwaka 2026 leo tarehe 08 Februari, 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb.), akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Patrobas Katambi (Mb) wakati wa Kikao cha Bunge jijini Dodoma leo, Februari 06, 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb.), akizungumza na Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Prof. Makame Mbarawa (Mb) wakati wa kikao cha Bunge jijini Dodoma leo, Februari 06, 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), wakati akitoa taarifa mbele ya Waandishi wa Habari kuhusu utekelezaji wa ahadi za Rais Samia za mafanikio ndani ya siku 100 za Serikali ya Awamu ya Sita (Muhula wa Pili), katika Mkutano uliofanyika tarehe 04 Februari, 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb.) wakati akijibu swali la nyongeza lililoulizwa na Mbunge wa Tarime Vijijini, Mhe. Mwita Waitara Februari 02, 2026, Bungeni jijini Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb) wakati akijibu swali la Mhe. Eng. Fadhili Sandali Chilombe, Mbunge wa Tunduru Kusini aliyetaka kufahamu mkakati wa Serikali wa kujenga minara ya mawasiliano katika vijiji vya Kazamoyo, Imani na Kilimani.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdullah akiwa kwenye kikao na uongozi wa Wizara ya Mawasiliano, Teknolojia ya Habari na Ubunifu ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano baina ya wizara hizo mbili katika kutekeleza masuala mbalimbali ya Sekta ya Mawasiliano na TEHAMA., tarehe 27 Januari, 2026

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Angellah Kairuki, alipokua kwenye ziara ya kikazi, Ikulu Zanzibar,tarehe 26 Januari 2026.

Previous Next

Taasisi chini ya Wizara

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Habari Mpya

Mfumo wa Anwani za Makazi: Funguo za Maendeleo ya Jamii na Uchumi wa Kidijitali
Mfumo wa Anwani za Makazi: Funguo za Maendeleo ya Jamii na Uchumi wa Kidijitali
Feb 09, 2026
Na Mwandishi Wetu, WMTH-DAR ES SALAAM Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mheshimiwa Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki, amesema kuwa Mfumo...
Anwani za Makazi na Urithi wa Taifa: Wageni wa Kongamano Watembelea Makumbusho
Anwani za Makazi na Urithi wa Taifa: Wageni wa Kongamano Watembelea Makumbusho
Feb 09, 2026
Na Mwandishi Wetu, WMTH–DSM Washiriki wa Kongamano la Mwaka la Anwani za Makazi na Maonesho ya Teknolojia za Huduma za Posta kutoka nchi mbal...
Wadau Wajadili Maboresho ya Mfumo wa Anwani za Makazi
Wadau Wajadili Maboresho ya Mfumo wa Anwani za Makazi
Feb 09, 2026
Na Mwandishi Wetu, WMTH–DSM Mkurugenzi wa Mawasiliano kutoka Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mulembwa Munaku, ameongoza ki...
Tazama Zote

Matukio

Mkutano Mkuu wa 28 wa Umoja wa Posta Duniani
Sep 08, 2025
Dubai
The 14th Africa Internet Governance Forum (AfIGF 2025)
Apr 21, 2025
JNICC Dar es Salaam
MADHIMISHO YA WIKI YA ANWANI ZA MAKAZI
Jan 30, 2025
UKUMBI WA MIKUTANO...
KONGAMANO LA C2C (CONNECT TO CONNECT)
Sep 17, 2024
GRAN MELIÁ - ARUSHA
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    19
  • Mikakati
    3
  • Usalama Mtandao
    6
  • Kanuni
    13
  • Ripoti
    12
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN, WAKATI WA KUFUNGUA RASMI BUNGE LA 13 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA MHE. JERRY SILAA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI WAKATI WA HAFLA YA KUKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KWA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
16 May 2025

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA JERRY WILLIAM SILAA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
15 Nov 2025

HOTUBA YA MHE.WAZIRI JERRY SILAA KATIKA UZINDUZI WA BODI YA UCSAF


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

04th Feb, 2026
MKUTANO WA WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA...
02nd Feb, 2026
MKAKATI WA SERIKALI WA KUTATUA CHANGAMOTO YA MAWAS...
02nd Feb, 2026
SERIKALI YAENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA MAWASILIANO...
30th Jan, 2026
WIZARA YA MAWASILIANO YATEMBELEA UDSM KWA MAANDALI...
Tazama Zote
Tanzania emblem
Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
9 Mtaa wa Mawasiliano, Mji wa Serikali - Mtumba, S.L.P 677, 40470 Dodoma, Tanzania
ps@mawasiliano.go.tz
+255-26-2324513
+255-26-2963117
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Rasmi ya Rais

  • Bunge la Tanzania

  • Ofisi ya Makamu wa Rais

  • Ofisi ya Waziri Mkuu

  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,

  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

Kurasa za Karibu
  • Matukio

  • postcode-list

  • Ramani ya Mkongo wa Taifa

  • Habari

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WMTH
    © 2026 WMTH, Haki zote zimehifadhiwa.