• English
  • Kiswahili
  • Barua Pepe
  • Wasiliana Nasi
  • e-Vibali
  • e-Malalamiko
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Maelezo Kuhusu Wizara
    • Dira & Dhima
    • Muundo
  • Idara na Vitengo
    • Idara
      • Uendelezaji wa Mifumo na Huduma za TEHAMA
      • Mawasiliano
      • Sera na Mipango
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Miundombinu ya TEHAMA
      • Usalama wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
  • Sera & Sheria
    • Sera
    • Sheria na Kanuni
    • Mikakati
    • Miongozo
    • Viwango
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Bajeti
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
  • Miradi
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Usalama wa Mtandao
    • TZ-CERT
    • Mikataba ya Makubaliano
    • Mahusiano ya Kimataifa
  • Tafiti & Ubunifu
    • Usajili Wataalam wa TEHAMA
    • Kampuni Changa za TEHAMA
    • Uendelezaji wa Mifumo ya TEHAMA
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Anwani za Makazi
    • NaPA
    • Miongozo
  • Kongamano la TACPA 2026
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Waziri
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Naibu Waziri
Bw. Mohammed Khamis Abdullah
Bw. Mohammed Khamis Abdullah
Katibu Mkuu
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Mh. Dkt. Switbert Mkama, Naibu Waziri (Mb), akipokea maelezo kutoka kwa mwanafunzi Khadija Ally Hamad kutoka Mkoa wa Kaskazini Pemba, Zanzibar, Shule ya Sekondari Wete, kuhusu ubunifu wa matumizi ya ndege nyuki (drone) inayosaidiwa na Akili Unde (AI) kwa maendeleo ya taifa, hususan sekta ya kilimo.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mheshimiwa Dkt. Switbert Zakaria Mkama (Mb.)akikabidhi tuzo na zawadi za kompyuta mpakato (laptops) ,vishikwambi (iPads) na vyeti kwa wasichana walioshiriki na waliofanya vizuri katika mafunzo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA). Mafunzo hayo yalifanyika kuanzia tarehe 16 Machi hadi 17 Aprili 2026, yakilenga kuwajengea uwezo wasichana katika ujuzi wa kidijitali.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Mh. Dkt. Switbert Mkama, akipokea maelezo kutoka kwa wanafunzi wa awali wa Chimwaga Pre and Primary waliowasilisha ubunifu wao wa kutengeneza wimbo wa Happy Birthday, sambamba na kueleza vifaa vinavyotumika katika ubunifu kama vile waya, lengo ni kujenga hamasa kwa watoto, hususan wasichana wadogo, ili wapende na kujihusisha na masomo ya TEHAMA na sayansi tangu wakiwa na umri mdogo, sambamba na kukuza usawa wa kijinsia katika nyanja hizo muhimu. Maonesho hayo yamefanyika siku ya kimataifa ya Wasichana katika TEHAMA 23 Aprili, 2026 katika Ukumbi wa jiji Mtumba - Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla akiwa pamoja na Umoja wa Watoa Huduma za Mawasiliano akisaini Hati za Makabidhiano ya Miundombinu ya Mkongo wa Mawasiliano kati ya Umoja wa Watoa Huduma za Mawasiliano (Yas, Vodacom, Airtel) na Serikali pamoja na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) leo tarehe 10 Aprili, 2026. Tukio hilo limeshuhudiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi na wageni mbalimbali katika Hafla ya Uzinduzi wa Minara 758, Maunganisho ya Mkongo wa Mawasiliano katika Wilaya 85 na Makabidhiano ya Mkongo wa Mawasiliano Serikalini iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, alipotembelea banda la Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari mara baada ya kuwasili katika hafla ya uzinduzi wa minara 758, maunganisho ya Mkongo wa Mawasiliano katika wilaya 85, pamoja na kukabidhi Mkongo huo Serikalini. Hafla hiyo ilifanyika katika Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma tarehe 10 Aprili 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Hafla ya Uzinduzi wa Minara 758, Maunganisho ya Mkongo wa Mawasiliano katika Wilaya 85 na makabidhiano ya Mkongo wa Mawasiliano Serikalini, April 10, 2026 katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete - Jijini Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua minara 758, maunganisho ya Mkongo wa Mawasiliano katika Wilaya 85 na kukabidhi Mkongo wa Mawasiliano Serikalini kwenye hafla iliyofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 10 Aprili, 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Agellah Jasmine Kairuki, akiwasili katika ukumbi wa Millennium Towers kwa ajili ya uzinduzi wa mfumo mpya wa mawasiliano wa Mtumiaji App, alipokelewa na Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano, Bi. Hawa Ngh’umbi, akiwa ameambatana na Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Bi. Mary Shao Msuya tarehe 23 Machi 2026 mjini Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Seleman Kakoso, ikikagua utekeleza wa Mradi wa Maarabara ya uidhinishaji wa vifaa vya kieletroniki iliyojengwa katika Makao Makuu ya TCRA,Machi 18, 2026 jijini Dar es Salaam. Kamati hiyo ilipokelewa na Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Kairuki, akiongozana na menejimenti ya wizara pamoja na uongozi wa TCRA.

Previous Next

Taasisi chini ya Wizara

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Habari Mpya

Serikali Yahimiza Ushiriki wa Wasichana katika Mapinduzi ya Kidijitali
Serikali Yahimiza Ushiriki wa Wasichana katika Mapinduzi ya Kidijitali
Apr 24, 2026
Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb) amesisitiza umuhimu wa ushirikiano, uwajibikaji binafsi na...
Serikali Yaahidi Kuongeza Kasi Kuboresha Mawasiliano kwa Wananchi
Serikali Yaahidi Kuongeza Kasi Kuboresha Mawasiliano kwa Wananchi
Apr 22, 2026
Na Mwandishi Wetu, WMTH - Bungeni, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imeandaa Mpango unaolenga kutatua changamo...
Wizara ya Mawasiliano Yasisitiza Uchumi wa Kidijitali kwa Wajasiriamali Wadogo na Wakati
Wizara ya Mawasiliano Yasisitiza Uchumi wa Kidijitali kwa Wajasiriamali Wadogo na Wakati
Apr 20, 2026
Na Mwandishi Wetu, WMTH – Arusha Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb), amehimiza wajas...
Tazama Zote

Matukio

Hafla ya Uzinduzi wa Minara 758, Maunganisho ya Mkongo...
Mar 30, 2026
UKUMBI WA MIKUTANO...
Mkutano Mkuu wa 28 wa Umoja wa Posta Duniani
Sep 08, 2025
Dubai
The 14th Africa Internet Governance Forum (AfIGF 2025)
Apr 21, 2025
JNICC Dar es Salaam
MADHIMISHO YA WIKI YA ANWANI ZA MAKAZI
Jan 30, 2025
UKUMBI WA MIKUTANO...
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    19
  • Mikakati
    4
  • Usalama Mtandao
    6
  • Kanuni
    13
  • Ripoti
    12
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN, WAKATI WA KUFUNGUA RASMI BUNGE LA 13 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA MHE. JERRY SILAA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI WAKATI WA HAFLA YA KUKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KWA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
16 May 2025

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA JERRY WILLIAM SILAA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
15 Nov 2025

HOTUBA YA MHE.WAZIRI JERRY SILAA KATIKA UZINDUZI WA BODI YA UCSAF


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

13th Apr, 2026
SERIKALI YAIMARISHA HUDUMA ZA TEHAMA ZANZIBAR
13th Apr, 2026
SERIKALI KUENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO MBALIMBALI Z...
10th Apr, 2026
MAAGIZO MANNE YA MHE. RAIS KWA WIZARA YA MAWASILIA...
10th Apr, 2026
Rais Samia akizindua Minara 758 ya Mawasiliano na...
Tazama Zote
Tanzania emblem
Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
9 Mtaa wa Mawasiliano, Mji wa Serikali - Mtumba, S.L.P 677, 40470 Dodoma, Tanzania
ps@mawasiliano.go.tz
+255-26-2324513
+255-26-2963117
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Rasmi ya Rais

  • Bunge la Tanzania

  • Ofisi ya Makamu wa Rais

  • Ofisi ya Waziri Mkuu

  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,

  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

Kurasa za Karibu
  • Matukio

  • postcode-list

  • Ramani ya Mkongo wa Taifa

  • Habari

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WMTH
    © 2026 WMTH, Haki zote zimehifadhiwa.