• English
  • Kiswahili
  • Barua Pepe
  • Wasiliana Nasi
  • e-Vibali
  • e-Malalamiko
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Maelezo Kuhusu Wizara
    • Dira & Dhima
    • Muundo
  • Idara na Vitengo
    • Idara
      • Uendelezaji wa Mifumo na Huduma za TEHAMA
      • Mawasiliano
      • Sera na Mipango
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Miundombinu ya TEHAMA
      • Usalama wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
  • Sera & Sheria
    • Sera
    • Sheria na Kanuni
    • Mikakati
    • Miongozo
    • Viwango
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Bajeti
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
  • Miradi
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Usalama wa Mtandao
    • TZ-CERT
    • Mikataba ya Makubaliano
    • Mahusiano ya Kimataifa
  • Tafiti & Ubunifu
    • Usajili Wataalam wa TEHAMA
    • Kampuni Changa za TEHAMA
    • Uendelezaji wa Mifumo ya TEHAMA
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Anwani za Makazi
    • NaPA
    • Miongozo
  • Kongamano la TACPA 2026
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Waziri
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Naibu Waziri
Bw. Mohammed Khamis Abdullah
Bw. Mohammed Khamis Abdullah
Katibu Mkuu
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla akiwa pamoja na Umoja wa Watoa Huduma za Mawasiliano akisaini Hati za Makabidhiano ya Miundombinu ya Mkongo wa Mawasiliano kati ya Umoja wa Watoa Huduma za Mawasiliano (Yas, Vodacom, Airtel) na Serikali pamoja na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) leo tarehe 10 Aprili, 2026. Tukio hilo limeshuhudiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi na wageni mbalimbali katika Hafla ya Uzinduzi wa Minara 758, Maunganisho ya Mkongo wa Mawasiliano katika Wilaya 85 na Makabidhiano ya Mkongo wa Mawasiliano Serikalini iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, alipotembelea banda la Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari mara baada ya kuwasili katika hafla ya uzinduzi wa minara 758, maunganisho ya Mkongo wa Mawasiliano katika wilaya 85, pamoja na kukabidhi Mkongo huo Serikalini. Hafla hiyo ilifanyika katika Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma tarehe 10 Aprili 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Hafla ya Uzinduzi wa Minara 758, Maunganisho ya Mkongo wa Mawasiliano katika Wilaya 85 na makabidhiano ya Mkongo wa Mawasiliano Serikalini, April 10, 2026 katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete - Jijini Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua minara 758, maunganisho ya Mkongo wa Mawasiliano katika Wilaya 85 na kukabidhi Mkongo wa Mawasiliano Serikalini kwenye hafla iliyofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 10 Aprili, 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Agellah Jasmine Kairuki, akiwasili katika ukumbi wa Millennium Towers kwa ajili ya uzinduzi wa mfumo mpya wa mawasiliano wa Mtumiaji App, alipokelewa na Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano, Bi. Hawa Ngh’umbi, akiwa ameambatana na Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Bi. Mary Shao Msuya tarehe 23 Machi 2026 mjini Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Seleman Kakoso, ikikagua utekeleza wa Mradi wa Maarabara ya uidhinishaji wa vifaa vya kieletroniki iliyojengwa katika Makao Makuu ya TCRA,Machi 18, 2026 jijini Dar es Salaam. Kamati hiyo ilipokelewa na Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Kairuki, akiongozana na menejimenti ya wizara pamoja na uongozi wa TCRA.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), pamoja na meza kuu katika picha ya pamoja na Menejimenti ya Wizara, katika ofisi za wizara zilizopo Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma, wakati wa Kikao Kazi cha wizara na wadau wa Sekta Binafsi kujadili masuala mbalimbali yanayohusu Sekta ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Februari 26, 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Kikao Kazi kati ya Wizara, Taasisi na Bodi zilizo chini ya Wizara, kilicholenga kujadili masuala ya kisekta (Think Tank), kilichofanyika katika Ofisi za Wizara, Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma, Februari 27, 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akiwa pamoja na viongozi na wadau wakifuatilia mawasilisho kutoka kwa wawakilishi wa sekta binafsi, wakati wa Kikao Kazi kati ya wizara na wadau wa Sekta Binafsi kujadili masuala mbalimbali yanayohusu Sekta ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, kinachofanyika katika ofisi za wizara zilizopo Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma, Februari 26, 2026.

Previous Next

Taasisi chini ya Wizara

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Habari Mpya

MIUNDOMBINU YA MAWASILIANO KUCHOCHEA UCHUMI WA KIDIJITALI: SERIKALI YAONGEZA KASI YA DIRA YA 2050
MIUNDOMBINU YA MAWASILIANO KUCHOCHEA UCHUMI WA KIDIJITALI: SERIKALI YAONGEZA KASI YA DIRA YA 2050
Apr 11, 2026
Na Mwandishi wetu, WMTH - Dodoma.   Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeongeza kasi ya uwekezaji katika miundombinu ya mawasilia...
Katibu Mkuu wa Mawasiliano Akutana na Ujumbe wa EU Kujadili Maendeleo ya Miradi ya Kidijitali na Ush...
Katibu Mkuu wa Mawasiliano Akutana na Ujumbe wa EU Kujadili Maendeleo ya Miradi ya Kidijitali na Ush...
Apr 11, 2026
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, amekutana na ujumbe kutoka Umoja wa Ulaya (EU) ulioongozwa...
Katibu Mkuu wa Mawasiliano Aungana na Wadau wa TEHAMA katika Kongamano la 4 la Sayansi, Teknolojia n...
Katibu Mkuu wa Mawasiliano Aungana na Wadau wa TEHAMA katika Kongamano la 4 la Sayansi, Teknolojia n...
Apr 11, 2026
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla ameungana na wadau mbalimbali wa masuala Teknolojia ya Habar...
Tazama Zote

Matukio

Hafla ya Uzinduzi wa Minara 758, Maunganisho ya Mkongo...
Mar 30, 2026
UKUMBI WA MIKUTANO...
Mkutano Mkuu wa 28 wa Umoja wa Posta Duniani
Sep 08, 2025
Dubai
The 14th Africa Internet Governance Forum (AfIGF 2025)
Apr 21, 2025
JNICC Dar es Salaam
MADHIMISHO YA WIKI YA ANWANI ZA MAKAZI
Jan 30, 2025
UKUMBI WA MIKUTANO...
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    19
  • Mikakati
    4
  • Usalama Mtandao
    6
  • Kanuni
    13
  • Ripoti
    12
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN, WAKATI WA KUFUNGUA RASMI BUNGE LA 13 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA MHE. JERRY SILAA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI WAKATI WA HAFLA YA KUKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KWA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
16 May 2025

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA JERRY WILLIAM SILAA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
15 Nov 2025

HOTUBA YA MHE.WAZIRI JERRY SILAA KATIKA UZINDUZI WA BODI YA UCSAF


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

10th Apr, 2026
MAAGIZO MANNE YA MHE. RAIS KWA WIZARA YA MAWASILIA...
10th Apr, 2026
Rais Samia akizindua Minara 758 ya Mawasiliano na...
10th Apr, 2026
MAKALA: Mafanikio ya Wizara ya Mawasiliano na Tekn...
17th Mar, 2026
Kamati ya Bunge Yaipongeza TTCL, Yataka Maboresho...
Tazama Zote
Tanzania emblem
Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
9 Mtaa wa Mawasiliano, Mji wa Serikali - Mtumba, S.L.P 677, 40470 Dodoma, Tanzania
ps@mawasiliano.go.tz
+255-26-2324513
+255-26-2963117
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Rasmi ya Rais

  • Bunge la Tanzania

  • Ofisi ya Makamu wa Rais

  • Ofisi ya Waziri Mkuu

  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,

  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

Kurasa za Karibu
  • Matukio

  • postcode-list

  • Ramani ya Mkongo wa Taifa

  • Habari

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WMTH
    © 2026 WMTH, Haki zote zimehifadhiwa.