• English
  • Kiswahili
  • Barua Pepe
  • Wasiliana Nasi
  • e-Vibali
  • e-Malalamiko
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Maelezo Kuhusu Wizara
    • Dira & Dhima
    • Muundo
  • Idara na Vitengo
    • Idara
      • Uendelezaji wa Mifumo na Huduma za TEHAMA
      • Mawasiliano
      • Sera na Mipango
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Miundombinu ya TEHAMA
      • Usalama wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
  • Sera & Sheria
    • Sera
    • Sheria na Kanuni
    • Mikakati
    • Miongozo
    • Viwango
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Bajeti
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
  • Miradi
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Usalama wa Mtandao
    • TZ-CERT
    • Mikataba ya Makubaliano
    • Mahusiano ya Kimataifa
  • Tafiti & Ubunifu
    • Usajili Wataalam wa TEHAMA
    • Kampuni Changa za TEHAMA
    • Uendelezaji wa Mifumo ya TEHAMA
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Anwani za Makazi
    • NaPA
    • Miongozo
  • Kongamano la TACPA 2026
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Waziri
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Naibu Waziri
Bw. Mohammed Khamis Abdullah
Bw. Mohammed Khamis Abdullah
Katibu Mkuu
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akiwasilisha taarifa kwa umma kuhusu utekelezaji wa ahadi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, za mafanikio ndani ya siku 100 za Serikali ya Awamu ya Sita (Muhula wa Pili). Mkutano huo umefanyika katika Ofisi za Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, zilizopo katika Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma, tarehe 04 Februari 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akiwa pamoja na Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb), pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara, Bw. Mohammed Khamis Abdullah mara baada ya kutoa taarifa kwa umma kuhusu utekelezaji wa ahadi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, za mafanikio ndani ya siku 100 za Serikali ya Awamu ya Sita (Muhula wa Pili). Mkutano huo umefanyika katika Ofisi za Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo zilizopo katika Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma, tarehe 04 Februari 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Angellah Jasmine Mlewa Kairuki(Mb)akiteta jambo na Waziri wa Wizara ya Maji Mhe.Jumaa Aweso(Mb)katika ziara yake kwenye Ofisi za Wizara ya Maji zilizopo Mtumba, jijini Dodoma kwa lengo la kujadili kwa pamoja namna mifumo ya usimamizi kupitia Teknolojia za Kisasa itakavyoleta mageuzi na kuchochea uchumi wa kidijitali kwenye Sekta ya Maji nchini,02 Februari,2026

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb.) wakati akijibu swali la nyongeza lililoulizwa na Mbunge wa Tarime Vijijini, Mhe. Mwita Waitara kuhusu muingiliano wa mawasiliano katika maeneo ya mipakani, pamoja na udhaifu wa mawasiliano katika baadhi ya maeneo ya Hifadhi ya Serengeti na vijijini kwa ujumla.katika Kikao cha Tano cha Mkutano wa Pili wa Bunge la 13,Februari 02,2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe.Switbert Zakaria Mkama(Mb) akijibu maswali ya wabunge wengine kuhusu maswala ya Mawasiliano na Ujenzi wa Minara katika hifadhi za Taifa na vijijini wakati wa kikao cha tano cha mkutano wa pili wa Bunge la 13,tarehe 02 Februari,2025.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdullah, akiwa katika kikao na uongozi wa Wizara ya Mawasiliano, Teknolojia ya Habari na Ubunifu ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano baina ya wizara hizo mbili katika kutekeleza masuala mbalimbali ya Sekta ya Mawasiliano na TEHAMA.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb) wakati akijibu swali la Mbunge wa Momba, Mhe. Condester Michael Sichwale, aliyeuliza kuhusu mpango wa Serikali wa kupunguza gharama za vifurushi kwa kampuni zote za simu wakati wa kikao cha kwanza cha mkutano wa pili wa Bunge la 13. Januari 27,2026

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, wakati wa ziara yake ya kikazi Zanzibar. Tarehe 26 Januari,2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akiwa katika picha ya pamoja na Menejimenti ya Wizara pamoja na viongozi wa Kampuni ya Huawei, wakati wa ziara rasmi ya kikazi jijini la Shenzen,China.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Pichani ni Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb) akiwa pamoja na viongozi mbalimbali katika Kongamano la 9 la Mwaka la TEHAMA (TAIC2026) leo katika ukumbi wa SuperDome Masaki Januari 19, 2026, jijini Dar es Salaam.

Previous Next

Taasisi chini ya Wizara

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Habari Mpya

WIZARA YA MAWASILIANO YAHITIMISHA ZIARA YA MAANDALIZI YA PROGRAMU YA NDTI KATIKA CHUO KIKUU CHA MUST
WIZARA YA MAWASILIANO YAHITIMISHA ZIARA YA MAANDALIZI YA PROGRAMU YA NDTI KATIKA CHUO KIKUU CHA MUST
Feb 05, 2026
Na Mwandishi Wetu, WMTH – Mbeya Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imehitimisha ziara yake katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknol...
Huduma za Mawasiliano Zaimarika Ndani ya Siku 100 za Rais Samia
Huduma za Mawasiliano Zaimarika Ndani ya Siku 100 za Rais Samia
Feb 05, 2026
Na Mwandishi Wetu, WMTH-Mji wa Serikali, Mtumba Dodoma   Katika kipindi cha siku 100 za uongozi wa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Sek...
Serikali Yatenga Shilingi Bilioni 5 Kuwezesha Kampuni Changa Ndani ya Siku 100
Serikali Yatenga Shilingi Bilioni 5 Kuwezesha Kampuni Changa Ndani ya Siku 100
Feb 04, 2026
Na Mwandishi Wetu, WMTH Mji wa Serikali Mtumba – Dodoma   Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imefanikiwa kutekeleza aha...
Tazama Zote

Matukio

Mkutano Mkuu wa 28 wa Umoja wa Posta Duniani
Sep 08, 2025
Dubai
The 14th Africa Internet Governance Forum (AfIGF 2025)
Apr 21, 2025
JNICC Dar es Salaam
MADHIMISHO YA WIKI YA ANWANI ZA MAKAZI
Jan 30, 2025
UKUMBI WA MIKUTANO...
KONGAMANO LA C2C (CONNECT TO CONNECT)
Sep 17, 2024
GRAN MELIÁ - ARUSHA
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    19
  • Mikakati
    3
  • Usalama Mtandao
    6
  • Kanuni
    13
  • Ripoti
    12
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN, WAKATI WA KUFUNGUA RASMI BUNGE LA 13 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA MHE. JERRY SILAA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI WAKATI WA HAFLA YA KUKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KWA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
16 May 2025

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA JERRY WILLIAM SILAA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
15 Nov 2025

HOTUBA YA MHE.WAZIRI JERRY SILAA KATIKA UZINDUZI WA BODI YA UCSAF


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

04th Feb, 2026
MKUTANO WA WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA...
02nd Feb, 2026
MKAKATI WA SERIKALI WA KUTATUA CHANGAMOTO YA MAWAS...
02nd Feb, 2026
SERIKALI YAENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA MAWASILIANO...
30th Jan, 2026
WIZARA YA MAWASILIANO YATEMBELEA UDSM KWA MAANDALI...
Tazama Zote
Tanzania emblem
Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
9 Mtaa wa Mawasiliano, Mji wa Serikali - Mtumba, S.L.P 677, 40470 Dodoma, Tanzania
ps@mawasiliano.go.tz
+255-26-2324513
+255-26-2963117
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Rasmi ya Rais

  • Bunge la Tanzania

  • Ofisi ya Makamu wa Rais

  • Ofisi ya Waziri Mkuu

  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,

  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

Kurasa za Karibu
  • Matukio

  • postcode-list

  • Ramani ya Mkongo wa Taifa

  • Habari

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WMTH
    © 2026 WMTH, Haki zote zimehifadhiwa.