• English
  • Kiswahili
  • Barua Pepe
  • Wasiliana Nasi
  • e-Vibali
  • e-Malalamiko
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Maelezo Kuhusu Wizara
    • Dira & Dhima
    • Muundo
  • Idara na Vitengo
    • Idara
      • Uendelezaji wa Mifumo na Huduma za TEHAMA
      • Mawasiliano
      • Sera na Mipango
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Miundombinu ya TEHAMA
      • Usalama wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
  • Sera & Sheria
    • Sera
    • Sheria na Kanuni
    • Mikakati
    • Miongozo
    • Viwango
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Bajeti
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
  • Miradi
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Usalama wa Mtandao
    • TZ-CERT
    • Mikataba ya Makubaliano
    • Mahusiano ya Kimataifa
  • Tafiti & Ubunifu
    • Usajili Wataalam wa TEHAMA
    • Kampuni Changa za TEHAMA
    • Uendelezaji wa Mifumo ya TEHAMA
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Anwani za Makazi
    • NaPA
    • Miongozo
  • Kongamano la TACPA 2026
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Waziri
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Naibu Waziri
Bw. Mohammed Khamis Abdullah
Bw. Mohammed Khamis Abdullah
Katibu Mkuu
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Kairuki (Mb.),akiwa katika picha ya pamoja na washindi wa Tuzo za TEHAMA 2026,Wakati wa Hafla ya utoaji wa tuzo hizo iliyofanyika tarehe 09 Agosti 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Tanzania Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (MB) amefanya mazungumzo na Waziri wa Sayansi na Teknolojia wa Vietnam, Mhe. Vu Hai Quan, kuhusu Tanzania kuendelea kushirikiana kwa karibu na Vietnam katika maeneo mbalimbali ya maendeleo ya teknolojia na ubunifu.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki, amefanya mazungumzo ya pande mbili na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Masuala ya Kidijitali wa Poland, Mhe. Krzysztof Gawkowski, kuhusu kuimarisha ushirikiano katika mageuzi ya kidijitali, usalama wa mtandao, Akili Unde (AI), serikali ya kidijitali na maendeleo ya ujuzi wa TEHAMA.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Tanzania yaandika historia! Nchi imeibuka mshindi wa Tuzo ya Kimataifa ya WSIS Prizes 2026 kupitia mradi wa ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano, uliopanua huduma za mawasiliano katika maeneo ya vijijini na yasiyokuwa na huduma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Tanzania yazidi kung'ara kimataifa Kupitia Mradi wa JamiiStack, Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imetambuliwa katika Tuzo za WSIS Prizes 2026, hatua inayodhihirisha mafanikio ya nchi katika kuendeleza mageuzi ya kidijitali na kujenga uchumi wa kidijitali jumuishi.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Kairuki, akihutubia Mdahalo wa Kimataifa kuhusu Utawala wa Akili Unde (AI) uliofanyika Geneva, Uswisi, ambapo aliwasilisha msimamo wa Tanzania wa kuhimiza ushirikiano wa kimataifa katika kuhakikisha maendeleo ya AI yanasimamiwa kwa mifumo jumuishi, yenye uwazi na usawa kwa manufaa ya wote.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Ujumbe kutoka Korea Exim Bank ukiongozwa na Naibu Mkuu wa benki hiyo nchini, Bw. Wang Kim, umetembelea eneo la ujenzi wa Chuo Mahiri cha TEHAMA (NDTI) lililopo Nala, Dodoma, kujionea maendeleo ya maandalizi ya mradi na kufanya tathmini ya awali ya eneo litakalojengwa chuo hicho.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ambaye pia Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa Usimamizi wa Mkakati wa Taifa wa Mawasiliano ya Intaneti ya Kasi (Tanzania National Broadband Strategy - TNBS), Bw. Mohammed Khamis Abdulla(aliyevaa suti ya bluu), akiwa na Wajumbe wa Kamati wakiwasili katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika, tarehe 25 Juni 2026, katika Ukumbi wa Wizara, Mtumba jijini Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, akikabidhi vifaa vya TEHAMA katika hafla iliyofanyika tarehe 22 Juni 2026, Makao Makuu ya Polisi Zanzibar.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Kairuki, amekutana na ujumbe kutoka Benki ya Dunia na kufanya mazungumzo kuhusu maendeleo ya utekelezaji wa Mradi wa Tanzania ya Kidijitali (Digital Tanzania Project).

Previous Next

Taasisi chini ya Wizara

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Habari Mpya

KAIRUKI: TUZO ZA TEHAMA ZICHOCHEE BUNIFU NA KUINUA UCHUMI WA KIDIJITALI.
KAIRUKI: TUZO ZA TEHAMA ZICHOCHEE BUNIFU NA KUINUA UCHUMI WA KIDIJITALI.
Aug 11, 2026
Na Mwandishi Wetu, WMTH – Dar es Salaam Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Kairuki (Mb), amesema Tuzo za TE...
TANZANIA INVITES VIETTEL TO EXPAND DIGITAL INVESTMENT THROUGH HALOTEL
TANZANIA INVITES VIETTEL TO EXPAND DIGITAL INVESTMENT THROUGH HALOTEL
Aug 11, 2026
By Our Correspondent, Da Nang, Vietnam  The Government of the United Republic of Tanzania has called on Viettel Group to deepen its investment...
JAMII MALIPO YAWEKA URAHISI NA USALAMA KATIKA MIAMALA YA WAFANYABIASHARA.
JAMII MALIPO YAWEKA URAHISI NA USALAMA KATIKA MIAMALA YA WAFANYABIASHARA.
Aug 11, 2026
Na Mwandishi Wetu – WMTH, Nzuguni – Dodoma Wafanyabiashara wanaotembelea Banda la Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari katik...
Tazama Zote

Matukio

Hafla ya Uzinduzi wa Minara 758, Maunganisho ya Mkongo...
Mar 30, 2026
UKUMBI WA MIKUTANO...
Mkutano Mkuu wa 28 wa Umoja wa Posta Duniani
Sep 08, 2025
Dubai
The 14th Africa Internet Governance Forum (AfIGF 2025)
Apr 21, 2025
JNICC Dar es Salaam
MADHIMISHO YA WIKI YA ANWANI ZA MAKAZI
Jan 30, 2025
UKUMBI WA MIKUTANO...
Tazama Zote

Nyaraka

  • Matukio
    1
  • Hotuba
    20
  • Mikakati
    6
  • Usalama Mtandao
    6
  • Kanuni
    13
  • Ripoti
    13
pdf-128
13 Jul 2026

UGOMBEA WA TANZANIA KATIKA BARAZA LA ITU, KANDA D – AFRIKA 2027–2030


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

09th Jul, 2026
TANZANIA YAIMARISHA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA HURIA K...
09th Jul, 2026
TANZANIA TAKES PART IN GLOBAL AI GOVERNANCE DIALOG...
28th Jun, 2026
Intaneti ya Kasi Kuwafikia Watanzania Wote: Mhandi...
23rd Jun, 2026
MAGEUZI YA KIDIJITALI YAPEWA KIPAUMBELE BAJETI YA...
Tazama Zote
Tanzania emblem
Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
9 Mtaa wa Mawasiliano, Mji wa Serikali - Mtumba, S.L.P 677, 40470 Dodoma, Tanzania
ps@mawasiliano.go.tz
+255-26-2324513
+255-26-2963117
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Rasmi ya Rais

  • Bunge la Tanzania

  • Ofisi ya Makamu wa Rais

  • Ofisi ya Waziri Mkuu

  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,

  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

Kurasa za Karibu
  • Matukio

  • postcode-list

  • Ramani ya Mkongo wa Taifa

  • Habari

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WMTH
    © 2026 WMTH, Haki zote zimehifadhiwa.