• English
  • Kiswahili
  • Barua Pepe
  • Wasiliana Nasi
  • e-Vibali
  • e-Malalamiko
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Maelezo Kuhusu Wizara
    • Dira & Dhima
    • Muundo
  • Idara na Vitengo
    • Idara
      • Uendelezaji wa Mifumo na Huduma za TEHAMA
      • Mawasiliano
      • Sera na Mipango
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Miundombinu ya TEHAMA
      • Usalama wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
  • Sera & Sheria
    • Sera
    • Sheria na Kanuni
    • Mikakati
    • Miongozo
    • Viwango
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Bajeti
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
  • Miradi
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Usalama wa Mtandao
    • TZ-CERT
    • Mikataba ya Makubaliano
    • Mahusiano ya Kimataifa
  • Tafiti & Ubunifu
    • Usajili Wataalam wa TEHAMA
    • Kampuni Changa za TEHAMA
    • Uendelezaji wa Mifumo ya TEHAMA
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Anwani za Makazi
    • NaPA
    • Miongozo
  • Kongamano la TACPA 2026
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Waziri
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Naibu Waziri
Bw. Mohammed Khamis Abdullah
Bw. Mohammed Khamis Abdullah
Katibu Mkuu
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Tanzania yaandika historia! Nchi imeibuka mshindi wa Tuzo ya Kimataifa ya WSIS Prizes 2026 kupitia mradi wa ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano, uliopanua huduma za mawasiliano katika maeneo ya vijijini na yasiyokuwa na huduma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Tanzania yazidi kung'ara kimataifa Kupitia Mradi wa JamiiStack, Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imetambuliwa katika Tuzo za WSIS Prizes 2026, hatua inayodhihirisha mafanikio ya nchi katika kuendeleza mageuzi ya kidijitali na kujenga uchumi wa kidijitali jumuishi.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Kairuki, akihutubia Mdahalo wa Kimataifa kuhusu Utawala wa Akili Unde (AI) uliofanyika Geneva, Uswisi, ambapo aliwasilisha msimamo wa Tanzania wa kuhimiza ushirikiano wa kimataifa katika kuhakikisha maendeleo ya AI yanasimamiwa kwa mifumo jumuishi, yenye uwazi na usawa kwa manufaa ya wote.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Ujumbe kutoka Korea Exim Bank ukiongozwa na Naibu Mkuu wa benki hiyo nchini, Bw. Wang Kim, umetembelea eneo la ujenzi wa Chuo Mahiri cha TEHAMA (NDTI) lililopo Nala, Dodoma, kujionea maendeleo ya maandalizi ya mradi na kufanya tathmini ya awali ya eneo litakalojengwa chuo hicho.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ambaye pia Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa Usimamizi wa Mkakati wa Taifa wa Mawasiliano ya Intaneti ya Kasi (Tanzania National Broadband Strategy - TNBS), Bw. Mohammed Khamis Abdulla(aliyevaa suti ya bluu), akiwa na Wajumbe wa Kamati wakiwasili katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika, tarehe 25 Juni 2026, katika Ukumbi wa Wizara, Mtumba jijini Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, akikabidhi vifaa vya TEHAMA katika hafla iliyofanyika tarehe 22 Juni 2026, Makao Makuu ya Polisi Zanzibar.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Kairuki, amekutana na ujumbe kutoka Benki ya Dunia na kufanya mazungumzo kuhusu maendeleo ya utekelezaji wa Mradi wa Tanzania ya Kidijitali (Digital Tanzania Project).

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb) akifuatilia michango mbali mbali ya waheshimiwa Wabunge wakichangia mjadala kuhusu Hotuba ya Bajeti ya Serikali tarehe 18 Juni, 2026 Bungeni, jijini Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, akikabidhi vifaa vya TEHAMA katika hafla iliyofanyika tarehe 19 Juni 2026 jijini, Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, akikata utepe kama ishara ya kuzindua Maabara ya Uchunguzi wa Makosa ya Kimtandao tarehe 19 Juni, 2026 jijini Dar es Salaam.

Previous Next

Taasisi chini ya Wizara

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Habari Mpya

TANZANIA YANADI MAFANIKIO YA MATUMIZI YA AKILI UNDE KATIKA MAGEUZI YA KIDIJITALI
TANZANIA YANADI MAFANIKIO YA MATUMIZI YA AKILI UNDE KATIKA MAGEUZI YA KIDIJITALI
Jul 11, 2026
Na Mwandishi wetu Geneva, Uswisi.   Tanzania imewasilisha mafanikio yake katika matumizi ya Akili Unde (AI) na mageuzi ya kidijitali kat...
TANZANIA NA KAZAKHSTAN ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI KATIKA KUENDELEZA MAGEUZI YA KIDIJITALI
TANZANIA NA KAZAKHSTAN ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI KATIKA KUENDELEZA MAGEUZI YA KIDIJITALI
Jul 11, 2026
Na Mwandishi wetu Geneva, Uswisi   Tanzania na Kazakhstan zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa pande mbili katika mageuzi ya kidijita...
MRADI WA MINARA 758 WAIPA TANZANIA TUZO YA KIMATAIFA YA WSIS 2026
MRADI WA MINARA 758 WAIPA TANZANIA TUZO YA KIMATAIFA YA WSIS 2026
Jul 11, 2026
Tanzania imepata heshima ya kutunukiwa Tuzo ya Kimataifa ya WSIS Prizes 2026 kutokana na mafanikio ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa minara 758 ya...
Tazama Zote

Matukio

Hafla ya Uzinduzi wa Minara 758, Maunganisho ya Mkongo...
Mar 30, 2026
UKUMBI WA MIKUTANO...
Mkutano Mkuu wa 28 wa Umoja wa Posta Duniani
Sep 08, 2025
Dubai
The 14th Africa Internet Governance Forum (AfIGF 2025)
Apr 21, 2025
JNICC Dar es Salaam
MADHIMISHO YA WIKI YA ANWANI ZA MAKAZI
Jan 30, 2025
UKUMBI WA MIKUTANO...
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    20
  • Mikakati
    6
  • Usalama Mtandao
    6
  • Kanuni
    13
  • Ripoti
    12
pdf-128
30 Apr 2026

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA ANGELLAH JASMINE MBELWA KAIRUKI (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA WA FEDHA WA 2026/27


Soma zaidi
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN, WAKATI WA KUFUNGUA RASMI BUNGE LA 13 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA MHE. JERRY SILAA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI WAKATI WA HAFLA YA KUKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KWA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
16 May 2025

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA JERRY WILLIAM SILAA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/26


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

09th Jul, 2026
TANZANIA YAIMARISHA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA HURIA K...
09th Jul, 2026
TANZANIA TAKES PART IN GLOBAL AI GOVERNANCE DIALOG...
28th Jun, 2026
Intaneti ya Kasi Kuwafikia Watanzania Wote: Mhandi...
23rd Jun, 2026
MAGEUZI YA KIDIJITALI YAPEWA KIPAUMBELE BAJETI YA...
Tazama Zote
Tanzania emblem
Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
9 Mtaa wa Mawasiliano, Mji wa Serikali - Mtumba, S.L.P 677, 40470 Dodoma, Tanzania
ps@mawasiliano.go.tz
+255-26-2324513
+255-26-2963117
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Rasmi ya Rais

  • Bunge la Tanzania

  • Ofisi ya Makamu wa Rais

  • Ofisi ya Waziri Mkuu

  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,

  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

Kurasa za Karibu
  • Matukio

  • postcode-list

  • Ramani ya Mkongo wa Taifa

  • Habari

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WMTH
    © 2026 WMTH, Haki zote zimehifadhiwa.