• English
  • Kiswahili
  • Barua Pepe
  • Wasiliana Nasi
  • e-Vibali
  • e-Malalamiko
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Maelezo Kuhusu Wizara
    • Dira & Dhima
    • Muundo
  • Idara na Vitengo
    • Idara
      • Uendelezaji wa Mifumo na Huduma za TEHAMA
      • Mawasiliano
      • Sera na Mipango
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Miundombinu ya TEHAMA
      • Usalama wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
  • Sera & Sheria
    • Sera
    • Sheria na Kanuni
    • Mikakati
    • Miongozo
    • Viwango
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Bajeti
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
  • Miradi
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Usalama wa Mtandao
    • TZ-CERT
    • Mikataba ya Makubaliano
    • Mahusiano ya Kimataifa
  • Tafiti & Ubunifu
    • Usajili Wataalam wa TEHAMA
    • Kampuni Changa za TEHAMA
    • Uendelezaji wa Mifumo ya TEHAMA
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Anwani za Makazi
    • NaPA
    • Miongozo
  • Kongamano la TACPA 2026
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Waziri
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Naibu Waziri
Bw. Mohammed Khamis Abdullah
Bw. Mohammed Khamis Abdullah
Katibu Mkuu
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), pamoja na meza kuu katika picha ya pamoja na Menejimenti ya Wizara, katika ofisi za wizara zilizopo Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma, wakati wa Kikao Kazi cha wizara na wadau wa Sekta Binafsi kujadili masuala mbalimbali yanayohusu Sekta ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Februari 26, 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Kikao Kazi kati ya Wizara, Taasisi na Bodi zilizo chini ya Wizara, kilicholenga kujadili masuala ya kisekta (Think Tank), kilichofanyika katika Ofisi za Wizara, Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma, Februari 27, 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akiwa pamoja na viongozi na wadau wakifuatilia mawasilisho kutoka kwa wawakilishi wa sekta binafsi, wakati wa Kikao Kazi kati ya wizara na wadau wa Sekta Binafsi kujadili masuala mbalimbali yanayohusu Sekta ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, kinachofanyika katika ofisi za wizara zilizopo Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma, Februari 26, 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), pamoja na meza kuu katika picha ya pamoja na wadau wa sekta binafsi, katika ofisi za wizara zilizopo Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma, wakati wa Kikao Kazi cha wizara na wadau wa Sekta Binafsi kujadili masuala mbalimbali yanayohusu Sekta ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Februari 26, 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akiwasili katika ofisi za wizara zilizopo Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma, kuongoza Kikao Kazi kati ya Wizara na wadau wa Sekta Binafsi kujadili masuala mbalimbali yanayohusu Sekta ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, leo Februari 26, 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Viongozi wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari pamoja na Maafisa Waandamizi wa Wizara hiyo na Taasisi zilizo chini yake wakishiriki mafunzo kuhusu Uongozi wa Kimkakati yaliyofanyika leo, Februari 25, 2026, katika ofisi za Wizara zilizoko Mji wa Serikali Mtumba.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb.), amekabidhi vishikwambi 101 kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe, Mkoa wa Mwanza, Bw. Vincent Augustine Mbua, katika hafla iliyofanyika katika Ofisi za Wizara, Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Baraza la Kwanza la Wafanyakazi wa Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2025/26, leo Februari 24, 2026, katika Ofisi za Wizara, Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb), pamoja na viongozi wengine, alipowasili katika ofisi za Wizara hiyo zilizoko Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma, kwa ajili ya kuhudhuria mafunzo ya Viongozi na Maafisa Waandamizi wa Wizara na Taasisi zilizo chini ya Wizara kuhusu Uongozi wa Kimkakati yaliyofanyika, Februari 25, 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb), akiwa pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, na Naibu Katibu Mkuu, Bw. Nicholas Merinyo Mkapa wakifuatilia mafunzo ya Viongozi na Maafisa Waandamizi wa Wizara na Taasisi zilizo chini ya Wizara kuhusu Uongozi wa Kimkakati yaliyofanyika katika Ofisi za Wizara, Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma, Februari 25, 2026.

Previous Next

Taasisi chini ya Wizara

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Habari Mpya

Waziri Kairuki: Serikali Kujenga Ushirikiano Imara na Sekta Binafsi Kukuza Uchumi wa Kidijitali
Waziri Kairuki: Serikali Kujenga Ushirikiano Imara na Sekta Binafsi Kukuza Uchumi wa Kidijitali
Feb 28, 2026
Na Mwandishi Wetu, WMTH – Mtumba, Dodoma   Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angela Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), am...
Maendeleo ya Sekta ya Mawasiliano Yanategemea Uwajibikaji na Uongozi Thabiti – Waziri Kairuki
Maendeleo ya Sekta ya Mawasiliano Yanategemea Uwajibikaji na Uongozi Thabiti – Waziri Kairuki
Feb 28, 2026
Na Mwandishi Wetu, WMTH – Mtumba, Dodoma   Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb),...
Naibu Waziri Dkt. Mkama Awataka Maafisa Waandamizi Kuzingatia Maadili na Kujali Afya katika Utumishi...
Naibu Waziri Dkt. Mkama Awataka Maafisa Waandamizi Kuzingatia Maadili na Kujali Afya katika Utumishi...
Feb 27, 2026
# Asema Afya ya Akili ni Msingi wa Utendaji Bora Kazini Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Dkt. Switber...
Tazama Zote

Matukio

Mkutano Mkuu wa 28 wa Umoja wa Posta Duniani
Sep 08, 2025
Dubai
The 14th Africa Internet Governance Forum (AfIGF 2025)
Apr 21, 2025
JNICC Dar es Salaam
MADHIMISHO YA WIKI YA ANWANI ZA MAKAZI
Jan 30, 2025
UKUMBI WA MIKUTANO...
KONGAMANO LA C2C (CONNECT TO CONNECT)
Sep 17, 2024
GRAN MELIÁ - ARUSHA
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    19
  • Mikakati
    4
  • Usalama Mtandao
    6
  • Kanuni
    13
  • Ripoti
    12
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN, WAKATI WA KUFUNGUA RASMI BUNGE LA 13 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA MHE. JERRY SILAA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI WAKATI WA HAFLA YA KUKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KWA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
16 May 2025

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA JERRY WILLIAM SILAA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
15 Nov 2025

HOTUBA YA MHE.WAZIRI JERRY SILAA KATIKA UZINDUZI WA BODI YA UCSAF


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

04th Feb, 2026
MKUTANO WA WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA...
04th Feb, 2026
SERIKALI YA AWAMU YA SITA YAKAMILISHA UJENZI MINAR...
02nd Feb, 2026
MKAKATI WA SERIKALI WA KUTATUA CHANGAMOTO YA MAWAS...
02nd Feb, 2026
SERIKALI YAENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA MAWASILIANO...
Tazama Zote
Tanzania emblem
Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
9 Mtaa wa Mawasiliano, Mji wa Serikali - Mtumba, S.L.P 677, 40470 Dodoma, Tanzania
ps@mawasiliano.go.tz
+255-26-2324513
+255-26-2963117
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Rasmi ya Rais

  • Bunge la Tanzania

  • Ofisi ya Makamu wa Rais

  • Ofisi ya Waziri Mkuu

  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,

  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

Kurasa za Karibu
  • Matukio

  • postcode-list

  • Ramani ya Mkongo wa Taifa

  • Habari

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WMTH
    © 2026 WMTH, Haki zote zimehifadhiwa.