• English
  • Kiswahili
  • Barua Pepe
  • Wasiliana Nasi
  • e-Vibali
  • e-Malalamiko
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Maelezo Kuhusu Wizara
    • Dira & Dhima
    • Muundo
  • Idara na Vitengo
    • Idara
      • Uendelezaji wa Mifumo na Huduma za TEHAMA
      • Mawasiliano
      • Sera na Mipango
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Miundombinu ya TEHAMA
      • Usalama wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
  • Sera & Sheria
    • Sera
    • Sheria na Kanuni
    • Mikakati
    • Miongozo
    • Viwango
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Bajeti
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
  • Miradi
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Usalama wa Mtandao
    • TZ-CERT
    • Mikataba ya Makubaliano
    • Mahusiano ya Kimataifa
  • Tafiti & Ubunifu
    • Usajili Wataalam wa TEHAMA
    • Kampuni Changa za TEHAMA
    • Uendelezaji wa Mifumo ya TEHAMA
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Anwani za Makazi
    • NaPA
    • Miongozo
  • Kongamano la TACPA 2026
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Waziri
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Naibu Waziri
Bw. Mohammed Khamis Abdullah
Bw. Mohammed Khamis Abdullah
Katibu Mkuu
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, alimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kushiriki na kusaini Mkataba wa Umoja wa Mataifa Dhidi ya Uhalifu wa Mtandaoni katika hafla iliyofanyika tarehe 25 Oktoba 2025 jijini Hanoi, Vietnam na kuhudhuriwa na uwakilishi wa mataifa zaidi ya 100 duniani

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, akisikiliza maoni ya mwananchi wakati wa ziara yake ya kukagua hali ya upatikanaji wa huduma za mawasiliano katika vijiji vilivyopo karibu na mpaka wa Tanzania na Malawi, leo Oktoba 13, 2025, wilayani Kyela, mkoani Mbeya.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, akipokea maelezo kuhusu Mtambo wa Kupima Ubora wa Mawasiliano kutoka kwa Bw. Bartholomeo Titus, Meneja wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), wakati wa ziara yake ya kukagua hali ya mawasiliano katika maeneo ya mipakani, leo Oktoba 13, 2025, wilayani Kyela, mkoani Mbeya.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Nicholaus Mkapa (wa tatu kushoto) akiwasili Millenium Tower jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufungua hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Posta Duniani yanayofanyika Oktoba 9 ya kila mwaka, kaulimbiu ya mwaka 2025 ikiwa ni “Posta kwa ajili ya watu: Huduma za Kizawa, Ufikaji Kimataifa”

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) nchini Tanzania, Bi. Céline Robert (pichani kushoto), kuhusu utekelezaji wa Mradi wa Mpango wa Taifa wa Maendeleo ya Kidijitali. Mazungumzo hayo yamefanyika Oktoba 7, 2025 katika ofisi za Wizara hiyo zilizopo Mji wa Serikali, Mtumba, Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla (wa pili kulia) na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Viettel, Bi. Nguyen Thi Hoa wakionesha Hati ya Makubaliano (Deed of Settlement) na nyongeza ya Mkataba (Addendum) wa ujenzi wa miundombinu ya mawasiliano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Kampuni ya Viettel Global Joint Stock (VTG), mara baada ya kusaini hati hiyo katika hafla ilikayofanyika Oktoba 6, 2025 katika ofisi za Wizara hiyo, zilizopo Mji wa Serikali Mtumba.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Viettel, Bi. Nguyen Thi Hoa wakisaini Hati ya Makubaliano (Deed of Settlement) na nyongeza ya Mkataba (Addendum) wa ujenzi wa miundombinu ya mawasiliano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Kampuni ya Viettel Global Joint Stock (VTG), katika hafla ilikayofanyika Oktoba 6, 2025 katika ofisi za Wizara hiyo, zilizopo Mji wa Serikali Mtumba.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, akimkabidhi kompyuta mpakato kwa Wakili Mkuu wa Serikali, Mhe. Dkt. Ally Possi, kama ishara ya kukabidhi kompyuta mpakato 30 kwa ajili ya ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali. Makabidhiano hayo yamefanyika Agosti 27, 2025, katika ofisi za Wizara hiyo iliopo Mtaa wa Mawasiliano, Mji wa Serikali, Mtumba – Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa, akishuhudia Mtendaji Mkuu wa UCSAF, Mhandisi Peter Mwasalyanda akimkabidhi kompyuta mpakato Postamasta Mkuu Bw. Macrice Mbodo kama ishara ya kukabidhi vifaa vya TEHAMA vyenye thamani ya shilingi Milioni 288 kwa Shirika la Posta Tanzania katika hafla iliyofanyika hoteli ya Johari Rotana jijini Dar es Salaam tarehe 22 Agosti, 2025.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na mwenyekiti wa Kamati Kuu Tendaji ya Mradi wa Tanzania ya Kidijitali (DTP), Bw. Mohammed Khamis Abdulla akizungumza na wajumbe, wageni waalikwa waalikwa na Sekretarieti wakati wa Kikao cha Saba cha Kamati hiyo kilichofanyika Agosti 18, 2025, katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi za Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mji wa Serikali – Mtumba, Dodoma.

Previous Next

Taasisi chini ya Wizara

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Habari Mpya

WATENDAJI WA KATA JIJINI ARUSHA WAFANYA MAJARIBIO YA MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI (NaPA)
WATENDAJI WA KATA JIJINI ARUSHA WAFANYA MAJARIBIO YA MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI (NaPA)
Jun 11, 2026
Watendaji na wakusanya taarifa wa kata zilizopo Jiji la Arusha wamefanya majaribio ya matumizi ya Mfumo wa Anwani za Makazi (NaPA) pamoja na kujifunza...
Serikali Yaboresha Huduma za Mawasiliano Jimbo la Lupa
Serikali Yaboresha Huduma za Mawasiliano Jimbo la Lupa
Jun 11, 2026
Serikali kupitia Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari inaendelea kuboresha huduma za mawasiliano nchini, ikiwemo katika maeneo mbalimbali ya...
WATUMISHI WA SEKTA YA MAWASILIANO WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA e-MREJESHO
WATUMISHI WA SEKTA YA MAWASILIANO WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA e-MREJESHO
Jun 11, 2026
Na Mwandishi Wetu - WMTH, Dodoma   Watumishi wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wamepatiwa mafunzo kuhusu matumizi ya mfumo w...
Tazama Zote

Matukio

test
Jun 16, 2026
test
test
Jun 16, 2026
test
Hafla ya Uzinduzi wa Minara 758, Maunganisho ya Mkongo...
Mar 30, 2026
UKUMBI WA MIKUTANO...
Mkutano Mkuu wa 28 wa Umoja wa Posta Duniani
Sep 08, 2025
Dubai
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    20
  • Mikakati
    4
  • Usalama Mtandao
    6
  • Kanuni
    13
  • Ripoti
    12
pdf-128
30 Apr 2026

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA ANGELLAH JASMINE MBELWA KAIRUKI (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA WA FEDHA WA 2026/27


Soma zaidi
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN, WAKATI WA KUFUNGUA RASMI BUNGE LA 13 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA MHE. JERRY SILAA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI WAKATI WA HAFLA YA KUKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KWA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
16 May 2025

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA JERRY WILLIAM SILAA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/26


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

26th May, 2026
Serikali Kuimarisha Mawasiliano Katika Maeneo ya K...
26th May, 2026
Serikali Kumaliza Changamoto za Mawasiliano Nchini...
15th May, 2026
TUMIA MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI NAPA, KUFIKA OFISI...
07th May, 2026
PIGA KURA KWA MIRADI YA TANZANIA WSIS 2026
Tazama Zote
Tanzania emblem
Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
9 Mtaa wa Mawasiliano, Mji wa Serikali - Mtumba, S.L.P 677, 40470 Dodoma, Tanzania
ps@mawasiliano.go.tz
+255-26-2324513
+255-26-2963117
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Rasmi ya Rais

  • Bunge la Tanzania

  • Ofisi ya Makamu wa Rais

  • Ofisi ya Waziri Mkuu

  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,

  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

Kurasa za Karibu
  • Matukio

  • postcode-list

  • Ramani ya Mkongo wa Taifa

  • Habari

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WMTH
    © 2026 WMTH, Haki zote zimehifadhiwa.