Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki, amefanya mazungumzo ya pande mbili na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Masuala ya Kidijitali wa Poland, Mhe. Krzysztof Gawkowski, kuhusu kuimarisha ushirikiano katika mageuzi ya kidijitali, usalama wa mtandao, Akili Unde (AI), serikali ya kidijitali na maendeleo ya ujuzi wa TEHAMA.