• English
  • Kiswahili
  • Barua Pepe
  • Wasiliana Nasi
  • e-Vibali
  • e-Malalamiko
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Maelezo Kuhusu Wizara
    • Dira & Dhima
    • Muundo
  • Idara na Vitengo
    • Idara
      • Uendelezaji wa Mifumo na Huduma za TEHAMA
      • Mawasiliano
      • Sera na Mipango
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Miundombinu ya TEHAMA
      • Usalama wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
  • Sera & Sheria
    • Sera
    • Sheria na Kanuni
    • Mikakati
    • Miongozo
    • Viwango
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Bajeti
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
  • Miradi
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Usalama wa Mtandao
    • TZ-CERT
    • Mikataba ya Makubaliano
    • Mahusiano ya Kimataifa
  • Tafiti & Ubunifu
    • Usajili Wataalam wa TEHAMA
    • Kampuni Changa za TEHAMA
    • Uendelezaji wa Mifumo ya TEHAMA
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Anwani za Makazi
    • NaPA
    • Miongozo
  • Kongamano la TACPA 2026
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Waziri
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Naibu Waziri
Bw. Mohammed Khamis Abdullah
Bw. Mohammed Khamis Abdullah
Katibu Mkuu
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Kairuki, amekutana na ujumbe kutoka Benki ya Dunia na kufanya mazungumzo kuhusu maendeleo ya utekelezaji wa Mradi wa Tanzania ya Kidijitali (Digital Tanzania Project).

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb) akifuatilia michango mbali mbali ya waheshimiwa Wabunge wakichangia mjadala kuhusu Hotuba ya Bajeti ya Serikali tarehe 18 Juni, 2026 Bungeni, jijini Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, akikabidhi vifaa vya TEHAMA katika hafla iliyofanyika tarehe 19 Juni 2026 jijini, Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, akikata utepe kama ishara ya kuzindua Maabara ya Uchunguzi wa Makosa ya Kimtandao tarehe 19 Juni, 2026 jijini Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Baadhi ya Watumishi wa Umma pamoja na Wananchi wametembelea Banda la Maonesho la Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na kupata maelezo kuhusu huduma, mifumo na miradi mbalimbali inayotekelezwa na Wizara hiyo katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2026 yanayoendelea katika Viwanja vya Chinangali Park, Dodoma, Juni 17, 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (Mb), akisalimiana na Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bi. Fatuma Kalovya, alipotembelea Banda la Maonesho la Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari katika siku ya ufunguzi rasmi wa Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwa mwaka 2026 yanayofanyika katika Viwanja vya Chinangali Park, Juni 17, 2026, Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, alimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kushiriki na kusaini Mkataba wa Umoja wa Mataifa Dhidi ya Uhalifu wa Mtandaoni katika hafla iliyofanyika tarehe 25 Oktoba 2025 jijini Hanoi, Vietnam na kuhudhuriwa na uwakilishi wa mataifa zaidi ya 100 duniani

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, akisikiliza maoni ya mwananchi wakati wa ziara yake ya kukagua hali ya upatikanaji wa huduma za mawasiliano katika vijiji vilivyopo karibu na mpaka wa Tanzania na Malawi, leo Oktoba 13, 2025, wilayani Kyela, mkoani Mbeya.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, akipokea maelezo kuhusu Mtambo wa Kupima Ubora wa Mawasiliano kutoka kwa Bw. Bartholomeo Titus, Meneja wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), wakati wa ziara yake ya kukagua hali ya mawasiliano katika maeneo ya mipakani, leo Oktoba 13, 2025, wilayani Kyela, mkoani Mbeya.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Nicholaus Mkapa (wa tatu kushoto) akiwasili Millenium Tower jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufungua hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Posta Duniani yanayofanyika Oktoba 9 ya kila mwaka, kaulimbiu ya mwaka 2025 ikiwa ni “Posta kwa ajili ya watu: Huduma za Kizawa, Ufikaji Kimataifa”

Previous Next

Taasisi chini ya Wizara

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Habari Mpya

Wananchi Wanufaika na Elimu ya Kidijitali Kupitia Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
Wananchi Wanufaika na Elimu ya Kidijitali Kupitia Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
Jun 22, 2026
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari inaendelea kutumia Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika Viwanja vya Chinangali P...
SERIKALI KUENDELEA KULIWEZESHA JESHI LA POLISI KUBORESHA UTENDAJI KAZI
SERIKALI KUENDELEA KULIWEZESHA JESHI LA POLISI KUBORESHA UTENDAJI KAZI
Jun 22, 2026
Na Mwandishi Wetu – WMTH, Dar es Salaam   Serikali kupitia Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imeahidi kushirikiana na Jes...
WAZIRI KAIRUKI AKUTANA NA UJUMBE WA BENKI YA DUNIA KUJADILI UTEKELEZAJI WA MRADI WA TANZANIA YA KIDI...
WAZIRI KAIRUKI AKUTANA NA UJUMBE WA BENKI YA DUNIA KUJADILI UTEKELEZAJI WA MRADI WA TANZANIA YA KIDI...
Jun 22, 2026
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Kairuki, amekutana na ujumbe kutoka Benki ya Dunia na kufanya mazungumzo kuhusu m...
Tazama Zote

Matukio

Hafla ya Uzinduzi wa Minara 758, Maunganisho ya Mkongo...
Mar 30, 2026
UKUMBI WA MIKUTANO...
Mkutano Mkuu wa 28 wa Umoja wa Posta Duniani
Sep 08, 2025
Dubai
The 14th Africa Internet Governance Forum (AfIGF 2025)
Apr 21, 2025
JNICC Dar es Salaam
MADHIMISHO YA WIKI YA ANWANI ZA MAKAZI
Jan 30, 2025
UKUMBI WA MIKUTANO...
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    20
  • Mikakati
    4
  • Usalama Mtandao
    6
  • Kanuni
    13
  • Ripoti
    12
pdf-128
30 Apr 2026

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA ANGELLAH JASMINE MBELWA KAIRUKI (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA WA FEDHA WA 2026/27


Soma zaidi
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN, WAKATI WA KUFUNGUA RASMI BUNGE LA 13 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA MHE. JERRY SILAA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI WAKATI WA HAFLA YA KUKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KWA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
16 May 2025

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA JERRY WILLIAM SILAA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/26


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

26th May, 2026
Serikali Kuimarisha Mawasiliano Katika Maeneo ya K...
26th May, 2026
Serikali Kumaliza Changamoto za Mawasiliano Nchini...
15th May, 2026
TUMIA MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI NAPA, KUFIKA OFISI...
07th May, 2026
PIGA KURA KWA MIRADI YA TANZANIA WSIS 2026
Tazama Zote
Tanzania emblem
Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
9 Mtaa wa Mawasiliano, Mji wa Serikali - Mtumba, S.L.P 677, 40470 Dodoma, Tanzania
ps@mawasiliano.go.tz
+255-26-2324513
+255-26-2963117
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Rasmi ya Rais

  • Bunge la Tanzania

  • Ofisi ya Makamu wa Rais

  • Ofisi ya Waziri Mkuu

  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,

  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

Kurasa za Karibu
  • Matukio

  • postcode-list

  • Ramani ya Mkongo wa Taifa

  • Habari

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WMTH
    © 2026 WMTH, Haki zote zimehifadhiwa.