Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Kairuki, akihutubia Mdahalo wa Kimataifa kuhusu Utawala wa Akili Unde (AI) uliofanyika Geneva, Uswisi, ambapo aliwasilisha msimamo wa Tanzania wa kuhimiza ushirikiano wa kimataifa katika kuhakikisha maendeleo ya AI yanasimamiwa kwa mifumo jumuishi, yenye uwazi na usawa kwa manufaa ya wote.