TEHAMA
Idara ya Uedndelezaji Mifumo na Huduma za TEHAMA (ISDS)
Inaongozwa na Bwana Munaku Mulembwa
Mkurugenzi wa Idara ya Uedndelezaji Mifumo na Huduma za TEHAMA (DISDS)
Baruapepe: mulembwa.munaku@mawasiliano.go.tz
Lengo
Kutoa sera, miongozo na viwango vya taifa kuhusu Sekta ya TEHAMA.
Idara hii ina vitengo vitatu (3) kama ifuatavyo:
(i) Seksheni ya Miundombinu ya TEHAMA;
(ii) Seksheni ya Uendelezaji wa Mifumo na Huduma za TEHAMA ; na
(iii) Seksheni ya Usalama wa Mawasiliano na Mtandao