Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

TEHAMA

Idara ya Uedndelezaji Mifumo na Huduma za TEHAMA  (ISDS) 

Inaongozwa na Bwana  Munaku Mulembwa

Mkurugenzi wa Idara ya Uedndelezaji Mifumo na Huduma za TEHAMA (DISDS)

Baruapepe: mulembwa.munaku@mawasiliano.go.tz

Lengo

Kutoa sera, miongozo na viwango vya taifa kuhusu Sekta ya TEHAMA.

Idara hii ina vitengo vitatu (3) kama ifuatavyo:

(i) Seksheni ya  Miundombinu ya TEHAMA;

(ii) Seksheni ya Uendelezaji wa Mifumo na Huduma za TEHAMA ; na

(iii) Seksheni ya Usalama wa Mawasiliano na Mtandao