Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Dira &Dhima

Dira:

“Jamii yenye uelewa na iliyowezeshwa kidijitali kwa  maendeleo ya kijamii na kiuchumi”

 

Dhamira 

“Kuwezesha upatikanaji wa taarifa, mawasiliano, teknolojia ya habari na huduma za posta zenye uhakika na gharama nafuu kupitia mazingira bunifu ili kuibadilisha Tanzania kuwa uchumi wa kidijitali”