Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Dira &Dhima

Dira:

“Tanzania kuwa mfano wa kuigwa katika maendeleo na matumizi ya TEHAMA, Mawasiliano na Huduma za Posta kwa maendeleo endelevu ya kijamii na kiuchumi.”

 

Dhamira:

“Kuibadilisha Tanzania kuwa jamii yenye maarifa kwa kutumia kikamilifu TEHAMA, Mawasiliano na Huduma za Posta katika mageuzi ya kiuchumi.”