Dira &Dhima
Dira:
“Tanzania kuwa mfano wa kuigwa katika maendeleo na matumizi ya TEHAMA, Mawasiliano na Huduma za Posta kwa maendeleo endelevu ya kijamii na kiuchumi.”
Dhamira:
“Kuibadilisha Tanzania kuwa jamii yenye maarifa kwa kutumia kikamilifu TEHAMA, Mawasiliano na Huduma za Posta katika mageuzi ya kiuchumi.”