• English
  • Kiswahili
  • Barua Pepe
  • Wasiliana Nasi
  • e-Vibali
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Maelezo Kuhusu Wizara
    • Dira & Dhima
    • Muundo
  • Idara na Vitengo
    • Idara
      • Uendelezaji wa Mifumo na Huduma za TEHAMA
      • Mawasiliano
      • Sera na Mipango
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Miundombinu ya TEHAMA
      • Usalama wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
  • Sera & Sheria
    • Sera
    • Sheria na Kanuni
    • Mikakati
    • Miongozo
    • Viwango
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Bajeti
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
  • Miradi
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Usalama wa Mtandao
    • TZ-CERT
    • Mikataba ya Makubaliano
    • Mahusiano ya Kimataifa
  • Tafiti & Ubunifu
    • Usajili Wataalam wa TEHAMA
    • Kampuni Changa za TEHAMA
    • Uendelezaji wa Mifumo ya TEHAMA
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Anwani za Makazi
    • NaPA
    • Miongozo
Bw. Mohammed Khamis Abdulla
Bw. Mohammed Khamis Abdulla
Katibu Mkuu
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, alimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kushiriki na kusaini Mkataba wa Umoja wa Mataifa Dhidi ya Uhalifu wa Mtandaoni katika hafla iliyofanyika tarehe 25 Oktoba 2025 jijini Hanoi, Vietnam na kuhudhuriwa na uwakilishi wa mataifa zaidi ya 100 duniani

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, akisikiliza maoni ya mwananchi wakati wa ziara yake ya kukagua hali ya upatikanaji wa huduma za mawasiliano katika vijiji vilivyopo karibu na mpaka wa Tanzania na Malawi, leo Oktoba 13, 2025, wilayani Kyela, mkoani Mbeya.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, akipokea maelezo kuhusu Mtambo wa Kupima Ubora wa Mawasiliano kutoka kwa Bw. Bartholomeo Titus, Meneja wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), wakati wa ziara yake ya kukagua hali ya mawasiliano katika maeneo ya mipakani, leo Oktoba 13, 2025, wilayani Kyela, mkoani Mbeya.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Nicholaus Mkapa (wa tatu kushoto) akiwasili Millenium Tower jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufungua hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Posta Duniani yanayofanyika Oktoba 9 ya kila mwaka, kaulimbiu ya mwaka 2025 ikiwa ni “Posta kwa ajili ya watu: Huduma za Kizawa, Ufikaji Kimataifa”

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) nchini Tanzania, Bi. Céline Robert (pichani kushoto), kuhusu utekelezaji wa Mradi wa Mpango wa Taifa wa Maendeleo ya Kidijitali. Mazungumzo hayo yamefanyika Oktoba 7, 2025 katika ofisi za Wizara hiyo zilizopo Mji wa Serikali, Mtumba, Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla (wa pili kulia) na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Viettel, Bi. Nguyen Thi Hoa wakionesha Hati ya Makubaliano (Deed of Settlement) na nyongeza ya Mkataba (Addendum) wa ujenzi wa miundombinu ya mawasiliano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Kampuni ya Viettel Global Joint Stock (VTG), mara baada ya kusaini hati hiyo katika hafla ilikayofanyika Oktoba 6, 2025 katika ofisi za Wizara hiyo, zilizopo Mji wa Serikali Mtumba.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Viettel, Bi. Nguyen Thi Hoa wakisaini Hati ya Makubaliano (Deed of Settlement) na nyongeza ya Mkataba (Addendum) wa ujenzi wa miundombinu ya mawasiliano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Kampuni ya Viettel Global Joint Stock (VTG), katika hafla ilikayofanyika Oktoba 6, 2025 katika ofisi za Wizara hiyo, zilizopo Mji wa Serikali Mtumba.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, akimkabidhi kompyuta mpakato kwa Wakili Mkuu wa Serikali, Mhe. Dkt. Ally Possi, kama ishara ya kukabidhi kompyuta mpakato 30 kwa ajili ya ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali. Makabidhiano hayo yamefanyika Agosti 27, 2025, katika ofisi za Wizara hiyo iliopo Mtaa wa Mawasiliano, Mji wa Serikali, Mtumba – Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa, akishuhudia Mtendaji Mkuu wa UCSAF, Mhandisi Peter Mwasalyanda akimkabidhi kompyuta mpakato Postamasta Mkuu Bw. Macrice Mbodo kama ishara ya kukabidhi vifaa vya TEHAMA vyenye thamani ya shilingi Milioni 288 kwa Shirika la Posta Tanzania katika hafla iliyofanyika hoteli ya Johari Rotana jijini Dar es Salaam tarehe 22 Agosti, 2025.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na mwenyekiti wa Kamati Kuu Tendaji ya Mradi wa Tanzania ya Kidijitali (DTP), Bw. Mohammed Khamis Abdulla akizungumza na wajumbe, wageni waalikwa waalikwa na Sekretarieti wakati wa Kikao cha Saba cha Kamati hiyo kilichofanyika Agosti 18, 2025, katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi za Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mji wa Serikali – Mtumba, Dodoma.

Previous Next

Taasisi chini ya Wizara

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Habari Mpya

TANZANIA YASAINI MKATABA WA UMOJA WA MATAIFA DHIDI YA UHALIFU WA MTANDAONI
TANZANIA YASAINI MKATABA WA UMOJA WA MATAIFA DHIDI YA UHALIFU WA MTANDAONI
Oct 25, 2025
Na Mwandishi Wetu, WMTH, Hanoi, Vietnam  Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeungana na mataifa mengine duniani kusaini Mkataba wa U...
NAIBU KATIBU MKUU AZINDUA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA UCSAF, ASISITIZA NIDHAMU NA UFANISI KAZINI
NAIBU KATIBU MKUU AZINDUA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA UCSAF, ASISITIZA NIDHAMU NA UFANISI KAZINI
Oct 19, 2025
Na Mwandishi Wetu, WMTH – Dar es Salaam Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa, amet...
SERIKALI YAENDELEA KUTOA ELIMU JUU YA USALAMA WA MTANDAO JIJINI ARUSHA
SERIKALI YAENDELEA KUTOA ELIMU JUU YA USALAMA WA MTANDAO JIJINI ARUSHA
Oct 19, 2025
Na Mwandishi Wetu, WMTH, Arusha  Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari inaendelea na kampeni ya kutoa elimu juu ya usalama wa mtandao...
Tazama Zote

Matukio

Mkutano Mkuu wa 28 wa Umoja wa Posta Duniani
Sep 08, 2025
Dubai
The 14th Africa Internet Governance Forum (AfIGF 2025)
Apr 21, 2025
JNICC Dar es Salaam
MADHIMISHO YA WIKI YA ANWANI ZA MAKAZI
Jan 30, 2025
UKUMBI WA MIKUTANO...
KONGAMANO LA C2C (CONNECT TO CONNECT)
Sep 17, 2024
GRAN MELIÁ - ARUSHA
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    16
  • Mikakati
    3
  • Usalama Mtandao
    6
  • Kanuni
    10
  • Ripoti
    12
pdf-128
16 May 2025

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA JERRY WILLIAM SILAA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
20 Jan 2025

STATEMENT BY HON. JERRY WILLIAM SILAA (MP), MINISTER FOR COMMUNICATIONS AND INFORMATION TECHNOLOGY IN UNITED REPUBLIC OF TANZANIA ON THE 45TH ANNIVERSARY OF THE PAN AFRICAN POSTAL UNION (PAPU) DAY, 18TH JANUARY, 2025


Soma zaidi
pdf-128
20 Jan 2025

TAMKO LA MHESHIMIWA JERRY WILLIAM SILAA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA MAADHIMISHO YA 45 YA SIKU YA UMOJA WA POSTA AFRIKA TAREHE 18 JANUARI, 2025


Soma zaidi
pdf-128
09 Oct 2024

MESSAGE FROM HON. JERRY WILLIAM SILAA (MP), THE MINISTER FOR INFORMATION, COMMUNICATIONS AND INFORMATION TECHNOLOGY ON THE COMMEMORATION OF WORLD POST DAY, 9TH OCTOBER, 2024


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

13th Oct, 2025
SERIKALI YABORESHA MAWASILIANO MPAKA WA KASUMULU
04th Oct, 2025
Watumishi wa Wizara ya Mawasiliano watakiwa kuwa m...
23rd Sep, 2025
MKOA WA MBEYA WAANZA UHAKIKI WA ANWANI ZA MAKAZI,...
05th Aug, 2025
WANANCHI WAKARIBISHWA KUTEMBELEA BANDA LA WIZARA Y...
Tazama Zote
Tanzania emblem
Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
9 Mtaa wa Mawasiliano, Mji wa Serikali - Mtumba, S.L.P 677, 40470 Dodoma, Tanzania
ps@mawasiliano.go.tz
+255-26-2324513
+255-26-2963117
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Rasmi ya Rais

  • Bunge la Tanzania

  • Ofisi ya Makamu wa Rais

  • Ofisi ya Waziri Mkuu

  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,

  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

Kurasa za Karibu
  • Matukio

  • postcode-list

  • Ramani ya Mkongo wa Taifa

  • Habari

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WMTH
    © 2025 WMTH, Haki zote zimehifadhiwa.