• English
  • Kiswahili
  • Barua Pepe
  • Wasiliana Nasi
  • e-Vibali
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Maelezo Kuhusu Wizara
    • Dira & Dhima
    • Muundo
  • Idara na Vitengo
    • Idara
      • Idara ya Habari - MAELEZO
      • Uendelezaji wa Mifumo na Huduma za TEHAMA
      • Mawasiliano
      • Sera na Mipango
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Miundombinu ya TEHAMA
      • Usalama wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Sera & Sheria
    • Sera
    • Sheria
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Mikakati
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Bajeti
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
  • Miradi
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Usalama wa Mtandao
    • TZ-CERT
    • Mikataba ya Makubaliano
    • Mahusiano ya Kimataifa
  • Tafiti & Ubunifu
    • Usajili Wataalam wa TEHAMA
    • Kampuni Changa za TEHAMA
    • Uendelezaji wa Mifumo ya TEHAMA
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Anwani za Makazi
    • NaPA
    • Miongozo
Mhe. Nape Nnauye
Mhe. Nape Nnauye
Waziri
Eng. Kundo A. Mathew
Eng. Kundo A. Mathew
Naibu Waziri
 Mohammed Khamis Abdulla
Mohammed Khamis Abdulla
Katibu Mkuu
 Selestine Gervas Kakele
Selestine Gervas Kakele
Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb) akishiriki mdahalo wakati wa Jukwaa la Uhuru wa Mtandao Barani Afrika 2023 (FIFAfrica23) katika Hoteli ya Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam, leo Septemba 28, 2023.

Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Viongozi mbalimbali wa Wizara na Taasisi zilizo chini ya Wizara wakishiriki Jukwaa la Uhuru wa Mtandao Barani Afrika 2023 (FIFAfrica23) katika Hoteli ya Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam, leo Septemba 28, 2023.

Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb)akizungumza katika Hafla ya Utiaji Saini Hati ya Maridhiano na Hati ya Mkataba wa Nyongeza Kwenye Mkongo wa Mawasiliano Kati ya Wizara na Umoja wa Watoa Huduma za Mawasiliano (Consourtium of Telco-Operators) iliyofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam, Tarehe 25 Septemba, 2023.

Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb)akipokea tuzo kutoka kwa timu ya majadiliano wakati wa Hafla ya Utiaji Saini Hati ya Maridhiano na Hati ya Mkataba wa Nyongeza Kwenye Mkongo wa Mawasiliano Kati ya Wizara na Umoja wa Watoa Huduma za Mawasiliano (Consourtium of Telco-Operators) iliyofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam, Tarehe 25 Septemba, 2023.

Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mohaamed Khamis Abdulla akisaini Hati ya Maridhiano na Hati ya Mkataba wa Nyongeza na Viongozi wa Umoja wa Watoa Huduma za Mawasiliano (Consourtium of Telco-Operators) wakati wa Hafla ya Utiaji Saini Hati ya Maridhiano na Hati ya Mkataba wa Nyongeza Kwenye Mkongo wa Mawasiliano Kati ya Wizara na Umoja huo iliyofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam, Tarehe 25 Septemba, 2023.

Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla akimkabidhi cheti cha ufadhili wa masomo mtumishi wa Wizara hiyo, Mhandisi Edith Turuka katika hafla ya kuwakabidhi vyeti vya ufadhili wa masomo ya muda mrefu nje ya nchi kupitia Mradi wa Tanzania ya Kidijitali awamu ya kwanza iliyofanyika Septemba 9, 2023 jijini Dodoma.

Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla akimkabidhi cheti cha ufadhili wa masomo Afisa TEHAMA wa Wizara hiyo, Bw. Halidi Nyange wakati wa hafla ya kuwakabidhi vyeti vya ufadhili wa masomo ya muda mrefu nje ya nchi kupitia Mradi wa Tanzania ya Kidijitali awamu ya kwanza iliyofanyika Septemba 9, 2023 jijini Dodoma.

Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Na Chedaiwe Msuya, WHMTH, Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla (wa pili kushoto) amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe kutoka ubalozi wa Marekani nchini ambapo wamezungumzia masuala mbalimbali kuhusu Teknolojia ya 5G, masuala ya Usalama wa Mtandao pamoja na Uhuru wa vyombo nchini walipomtembelea ofisini kwake katika mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma, Septemba 7, 2023.

Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye pamoja na Katibu Mkuu wa Umoja wa Posta Afrika (PAPU) Dkt. Sifundo Moyo wakati alipokuwa akikagua Ofisi mbalimbali zilizopo ndani ya Jengo la Makao Makuu ya Umoja wa Posta Afrika (PAPU Tower) Jijini Arusha tarehe 02 Septemba, 2023.

Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikakidhi Funguo kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Posta Afrika (PAPU) Dkt. Sifundo Chief Moyo kama ishara ya kukabidhi rasmi Jengo la PAPU kwa Umoja huo, tarehe 02 Septemba, 2023 jijini Arusha

Previous Next

Taasisi chini ya Wizara

Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Habari Mpya

WADAU TOENI MAONI CHANYA YA TEHAMA
WADAU TOENI MAONI CHANYA YA TEHAMA
Sep 28, 2023
Na Chedaiwe Msuya, WHMTH, Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu  wa Wizara ya Habari Mawasiliano na Teknolojia,  Selestin Kakele amesema watu...
UFUATILIAJI NA TATHMINI NYENZO MUHIMU YA UTENDAJI WA MATOKEO
UFUATILIAJI NA TATHMINI NYENZO MUHIMU YA UTENDAJI WA MATOKEO
Sep 27, 2023
Na Faraja Mpina, WHMTH, Morogoro. Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imewajengea uwezo wataalam wake katika eneo la Ufuatiliaji...
SERIKALI NA WATOA HUDUMA ZA MAWASILIANO WAINGIA MARIDHIANO YA KIHISTORIA YA SHILINGI BILIONI 50 KWA...
SERIKALI NA WATOA HUDUMA ZA MAWASILIANO WAINGIA MARIDHIANO YA KIHISTORIA YA SHILINGI BILIONI 50 KWA...
Sep 25, 2023
Na Innocent Mungy, WHMTH,DAR ES SALAAM. Katika hatua muhimu kwa Sekta ya Mawasiliano, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini makubali...
Tazama Zote

Matukio

MAONESHO YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI
Aug 04, 2023
VIWANJA VYA NYERERE...
MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
Mar 09, 2023
KONDOA - DODOMA
MKUTANO WA 107 WA WASHITIRI WA VIPINDI VYA ELIMU KWA UM...
Feb 14, 2023
UKUMBI WA NSSF – MO...
TANZANIA - DR CONGO ICT INVESTMENT FORUM 2022 CONCEPT N...
Sep 25, 2022
LUBUMBASHI - DR CON...
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    5
  • Usalama Mtandao
    6
  • Sera & Sheria
    21
  • Ripoti
    10
pdf-128
23 May 2023

HOTUBA YA WAZIRI WA HABARI, MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI, MHESHIMIWA NAPE NNAUYE (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MPANGO NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA WA FEDHA 2023/24


Soma zaidi
pdf-128
23 Feb 2023

HOTUBA YA MHE. NAIBU WAZIRI KWA AJILI YA UFUNGUZI WA MKUTANO WA 107 WA WASHITIRI WA TBC JUMANNE TAREHE 21 FEBRUARI 2023.


Soma zaidi
pdf-128
14 Feb 2023

MAELEZO YA KATIBU MKUU WAKATI WA KIKAO CHA KUSAINI MASHIRIKIANO YA PAMOJA KATI YA WIZARA YA HABARI MAWASILIANO TEKNOLOJIA YA HABARI NA TANZANIA STARTUP ASSOCIATION


Soma zaidi
pdf-128
20 May 2022

HOTUBA YA WAZIRI WA HABARI, MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI, MHESHIMIWA NAPE NNAUYE (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MPANGO NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA WA FEDHA 2022/23


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

06th Sep, 2023
UZINDUZI WA KONGAMANO LA CONNECT TO CONNECT 2023,...
04th Sep, 2023
SEKTA YA POSTA KUIKOMBOA AFRIKA KIUCHUMI: WAZIRI N...
04th Sep, 2023
RAIS SAMIA ALIKUBALI JENGO LA PAPU ARUSHA
04th Sep, 2023
UZINDUZI WA JENGO LA UMOJA WA POSTA AFRIKA PAPU
Tazama Zote
Tanzania emblem
Katibu Mkuu
Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
S.L.P 677, 1 Mtaa wa Ujenzi, 40470 Dodoma
ps@mawasiliano.go.tz
+255-262 963470
+255-262 963117
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Rasmi ya Rais

  • Bunge la Tanzania

  • Ofisi ya Makamu wa Rais

  • Ofisi ya Waziri Mkuu

  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,

  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

Kurasa za Karibu
  • Matukio

  • postcode-list

  • Ramani ya Mkongo wa Taifa

  • Habari

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WHMTH
    © 2023 WHMTH, Haki zote zimehifadhiwa.