• English
  • Kiswahili
  • Barua Pepe
  • Wasiliana Nasi
  • e-Vibali
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Maelezo Kuhusu Wizara
    • Dira & Dhima
    • Muundo
  • Idara na Vitengo
    • Idara
      • Uendelezaji wa Mifumo na Huduma za TEHAMA
      • Mawasiliano
      • Sera na Mipango
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Miundombinu ya TEHAMA
      • Usalama wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
  • Sera & Sheria
    • Sera
    • Sheria na Kanuni
    • Mikakati
    • Miongozo
    • Viwango
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Bajeti
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
  • Miradi
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Usalama wa Mtandao
    • TZ-CERT
    • Mikataba ya Makubaliano
    • Mahusiano ya Kimataifa
  • Tafiti & Ubunifu
    • Usajili Wataalam wa TEHAMA
    • Kampuni Changa za TEHAMA
    • Uendelezaji wa Mifumo ya TEHAMA
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Anwani za Makazi
    • NaPA
    • Miongozo
  • AfIGF
Mhe. Jerry William Silaa
Mhe. Jerry William Silaa
Waziri
Mhe. Mhandisi Maryprisca Winfred Mahundi
Mhe. Mhandisi Maryprisca Winfred Mahundi
Naibu Waziri
Bw. Mohammed Khamis Abdulla
Bw. Mohammed Khamis Abdulla
Katibu Mkuu
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, akifuatilia uwasilishwaji wa a Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2025/26, Bungeni jijini Dodoma, leo Juni 12, 2025.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb.), akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakifuatilia uwasilishaji wa Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2025/26, Bungeni jijini Dodoma, leo Juni 12, 2025.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (Mb.), akiwa pamoja na Mawaziri wengine wakifuatilia uwasilishaji wa Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2025/26, Bungeni jijini Dodoma, leo Juni 12, 2025.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (katikati) akiwa na baadhi ya Mawaziri kutoka nchi za Afrika wakijadili kuhusu mustakabali wa Afrika ya kidijiti wakati wa Mkutano wa 14 wa Jukwaa la Afrika la Utawala wa Mtandao (AfIGF 2025), Mei 30, 2025, katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), Dar es Salaam, Tanzania.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (Mb.) alipowasili katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro na kupokelewa na mwenyeji wake Mhe, Nurdin Babu, Mkuu wa Mkoa huo kabla ya kuanza ziara yake ya siku moja mkoani humo kukagua hali ya upatikanaji wa huduma za mawasiliano hususan katika eneo la Mkomazi leo Aprili 11, 2025.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Baadhi ya wadau kutoka sekta ya umma na binafsi wakifuatilia majadiliano wakati wa kikao cha kutathmini utayari wa nchi katika matumizi ya teknolojia ya Akili Unde (AI) kilichoandaliwa na Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) kilichofanyika Aprili 8, 2025 katika Hoteli ya Nashera, jijini Dodoma

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Bw. Michael Jumanne Ramadhan kutoka Chuo cha Uhasibu Arusha akionesha jinsi alivyobuni Automation Door system mbele ya Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (Mb) alipotembelea chuo hicho katika atamizi ya bunifu mbalimbali ikiwa ni pamoja na bunifu za TEHAMA wakati wa ziara yake ya kutembelea vituo vya kuendeleza bunifu za TEHAMA na kampuni changa (startups) jijini Arusha, leo Machi 12, 2025.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (Mb) alipotembelea Chuo cha Ufundi Arusha na kukutana na vijana wabunifu wa teknolojia za TEHAMA pamoja na mifumo ya kidijitali inayoleta suluhisho za kidijitali wakati wa ziara yake ya kutembelea vituo vya kuendeleza bunifu za TEHAMA na kampuni changa (startups) jijini Arusha leo Machi 12, 2025.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (Mb.), alipowasili katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha leo tarehe 12 Machi, 2025 kabla ya kuanza ziara ya siku mbili mkoani humo kwa ajili ya kutembelea na kuzungumza na vijana wa bunifu changa za TEHAMA (Startups).

Previous Next

Taasisi chini ya Wizara

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Habari Mpya

POSTAMASTA MBODO ATOA WITO KWA NCHI ZA AFRIKA KUIMARISHA TEKNOLOJIA NA BIASHARA ZA MIPAKANI
POSTAMASTA MBODO ATOA WITO KWA NCHI ZA AFRIKA KUIMARISHA TEKNOLOJIA NA BIASHARA ZA MIPAKANI
Jun 19, 2025
Na Mwandishi Wetu – WMTH, Arusha   Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania, Bw. Macrice Daniel Mbodo, ametoa wito kwa Baraza la Utaw...
WIZARA YASHIRIKI MKUTANO WA 18 KIMATAIFA WA HAKI ZA WATU WENYE ULEMAVU
WIZARA YASHIRIKI MKUTANO WA 18 KIMATAIFA WA HAKI ZA WATU WENYE ULEMAVU
Jun 17, 2025
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imeshiriki katika Mkutano wa 18 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Watu wenye Ulemavu...
WAZIRI SILAA AZINDUA MAABARA TANO ZA TEHAMA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI IRINGA
WAZIRI SILAA AZINDUA MAABARA TANO ZA TEHAMA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI IRINGA
Jun 17, 2025
Na Mwandishi Wetu, WMTH, Iringa. Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe.  Jerry William Silaa (Mb.), amezindua rasmi maabara tano...
Tazama Zote

Matukio

The 14th Africa Internet Governance Forum (AfIGF 2025)
Apr 21, 2025
JNICC Dar es Salaam
MADHIMISHO YA WIKI YA ANWANI ZA MAKAZI
Jan 30, 2025
UKUMBI WA MIKUTANO...
KONGAMANO LA C2C (CONNECT TO CONNECT)
Sep 17, 2024
GRAN MELIÁ - ARUSHA
TRAINING PLAN FOR DTP SHORT COURSES FY 2024/25
Sep 07, 2024
DSM - TaGLA, Arusha...
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    16
  • Mikakati
    3
  • Usalama Mtandao
    6
  • Kanuni
    10
  • Ripoti
    12
pdf-128
16 May 2025

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA JERRY WILLIAM SILAA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
20 Jan 2025

STATEMENT BY HON. JERRY WILLIAM SILAA (MP), MINISTER FOR COMMUNICATIONS AND INFORMATION TECHNOLOGY IN UNITED REPUBLIC OF TANZANIA ON THE 45TH ANNIVERSARY OF THE PAN AFRICAN POSTAL UNION (PAPU) DAY, 18TH JANUARY, 2025


Soma zaidi
pdf-128
20 Jan 2025

TAMKO LA MHESHIMIWA JERRY WILLIAM SILAA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA MAADHIMISHO YA 45 YA SIKU YA UMOJA WA POSTA AFRIKA TAREHE 18 JANUARI, 2025


Soma zaidi
pdf-128
09 Oct 2024

MESSAGE FROM HON. JERRY WILLIAM SILAA (MP), THE MINISTER FOR INFORMATION, COMMUNICATIONS AND INFORMATION TECHNOLOGY ON THE COMMEMORATION OF WORLD POST DAY, 9TH OCTOBER, 2024


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

24th Nov, 2024
SERIKALI YAKUTANA NA WADAU KUJADILI HALI YA USALAM...
23rd Nov, 2024
TEF YAMPONGEZA WAZIRI KUUNDA BODI YA ITHIBATI YA W...
22nd Nov, 2024
Waziri Silaa Azungumza na Umoja wa Haki ya Kupata...
21st Nov, 2024
NYWILA IMARA NI MUHIMU ILI KULINDA TAARIFA ZAKO KA...
Tazama Zote
Tanzania emblem
Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
S.L.P 677, 1 Mtaa wa Ujenzi, 40470 Dodoma
ps@mawasiliano.go.tz
+255-26 2324513
+255-262 963117
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Rasmi ya Rais

  • Bunge la Tanzania

  • Ofisi ya Makamu wa Rais

  • Ofisi ya Waziri Mkuu

  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,

  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

Kurasa za Karibu
  • Matukio

  • postcode-list

  • Ramani ya Mkongo wa Taifa

  • Habari

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WMTH
    © 2025 WMTH, Haki zote zimehifadhiwa.