• English
  • Kiswahili
  • Barua Pepe
  • Wasiliana Nasi
  • e-Vibali
  • e-Malalamiko
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Maelezo Kuhusu Wizara
    • Dira & Dhima
    • Muundo
  • Idara na Vitengo
    • Idara
      • Uendelezaji wa Mifumo na Huduma za TEHAMA
      • Mawasiliano
      • Sera na Mipango
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Miundombinu ya TEHAMA
      • Usalama wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
  • Sera & Sheria
    • Sera
    • Sheria na Kanuni
    • Mikakati
    • Miongozo
    • Viwango
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Bajeti
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
  • Miradi
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Usalama wa Mtandao
    • TZ-CERT
    • Mikataba ya Makubaliano
    • Mahusiano ya Kimataifa
  • Tafiti & Ubunifu
    • Usajili Wataalam wa TEHAMA
    • Kampuni Changa za TEHAMA
    • Uendelezaji wa Mifumo ya TEHAMA
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Anwani za Makazi
    • NaPA
    • Miongozo
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Waziri
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Naibu Waziri
Bw. Mohammed Khamis Abdulla
Bw. Mohammed Khamis Abdulla
Katibu Mkuu
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akiwa pamoja na viongozi wa wizara hiyo katika picha ya pamoja na watendaji wa Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano Tanzania (TCRA-CCC) wakati wa ziara yake ya kikazi katika ofisi za baraza hilo leo tarehe 08 Desemba 2025, jijini Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Wizara pamoja na Menejimenti ya Tume ya TEHAMA (ICTC) wakati wa ziara yake ya kikazi iliyofanyika tarehe 2 Desemba 2025 katika ofisi hizo jijini Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, akifafanua jambo wakati Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), alipokutana na kuzungumza na Menejimenti ya Tume ya TEHAMA (ICT Commission), akiwa katika ziara yake ya kikazi iliyofanyika tarehe 02 Desemba 2025, jijini Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akizungumza na wananchi waliofika kupata huduma katika ofisi za Shirika la Posta Tanzania, Mkoa wa Dar es Salaam, wakati wa ziara yake ya kikazi katika ofisi hizo, tarehe 27 Novemba 2025.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akipata maelezo ya utendaji kazi wa shughuli za Shirika la Posta Tanzania katika ofisi ya Mkoa wa Dar es Salaam wakati wa ziara yake ya kikazi katika ofisi hizo, tarehe 27 Novemba, 2025.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki(Mb) pamoja na Naibu Waziri Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb) wakipokea maelezo kutoka kwa wataalam wa Shirika la Posta Tanzania kuhusu HazMat ID Machine ambayo ni mashine maalum inayotumika kutambua na kuchambua aina za kemikali zilizopo ndani ya bidhaa au mizigo kabla haijapelekwa kwa mlengwa pamoja na mashine ya kukagua mizigo mbalimbali wakati wa ziara ya kikazi katika shirika hilo Novemba 27, 2025.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), katika picha ya pamoja na Viongozi pamoja na Menejimenti ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) mara baada ya ziara yake ya kikazi patika Kituo cha Kuhifadhi Data cha Taifa (National Data Center), tarehe 26 Novemba 2025, jijini Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akipata maelezo ya kazi za Kituo cha Kuhifadhi Data cha Taifa (National Data Center) katika ziara yake ya kikazi ndani ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), tarehe 26 Novemba 2025, jijini Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akipokea maelezo katika Kituo cha Uangalizi na Ufuatiliaji wa Mtandao (NOC) katika ziara yake ya kikazi ndani ya Shirika la Mawasiliano Tanzania, tarehe 26 Novemba 2025, jijini Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akipokea maelezo katika Kituo cha Uangalizi na Ufuatiliaji wa Mtandao (NOC) katika ziara yake ya kikazi ndani ya Shirika la Mawasiliano Tanzania, tarehe 26 Novemba 2025, jijini Dar es Salaam.

Previous Next

Taasisi chini ya Wizara

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Habari Mpya

TCRA-CCC Yatakiwa kuongeza ushirikiano na watumiaji  wa huduma za Mawasiliano
TCRA-CCC Yatakiwa kuongeza ushirikiano na watumiaji wa huduma za Mawasiliano
Dec 08, 2025
Na Mwandishi wetu WMTH,Dar es Salaam. Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), amefanya ziara ya k...
Waziri Kairuki Aagiza Kuimarishwa kwa Fursa na Ubunifu wa TEHAMA Nchini
Waziri Kairuki Aagiza Kuimarishwa kwa Fursa na Ubunifu wa TEHAMA Nchini
Dec 04, 2025
Na Mwandishi Wetu – WMTH, Dar es Salaam   Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), l...
Waziri Kairuki Asisitiza Mageuzi na Ujenzi wa Posta Mpya
Waziri Kairuki Asisitiza Mageuzi na Ujenzi wa Posta Mpya
Nov 30, 2025
Na Mwandishi Wetu, WMTH – Dar es Salaam   Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), a...
Tazama Zote

Matukio

Mkutano Mkuu wa 28 wa Umoja wa Posta Duniani
Sep 08, 2025
Dubai
The 14th Africa Internet Governance Forum (AfIGF 2025)
Apr 21, 2025
JNICC Dar es Salaam
MADHIMISHO YA WIKI YA ANWANI ZA MAKAZI
Jan 30, 2025
UKUMBI WA MIKUTANO...
KONGAMANO LA C2C (CONNECT TO CONNECT)
Sep 17, 2024
GRAN MELIÁ - ARUSHA
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    19
  • Mikakati
    3
  • Usalama Mtandao
    6
  • Kanuni
    13
  • Ripoti
    12
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN, WAKATI WA KUFUNGUA RASMI BUNGE LA 13 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA MHE. JERRY SILAA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI WAKATI WA HAFLA YA KUKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KWA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
16 May 2025

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA JERRY WILLIAM SILAA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
15 Nov 2025

HOTUBA YA MHE.WAZIRI JERRY SILAA KATIKA UZINDUZI WA BODI YA UCSAF


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

25th Nov, 2025
Waziri Kairuki Asisitiza Mageuzi na Ujenzi wa Post...
25th Nov, 2025
Waziri Kairuki Aisisitiza Posta Kuharakisha Mabadi...
19th Nov, 2025
Waziri Kairuki Aahidi Kuweka Kasi Mpya Katika Kuim...
14th Nov, 2025
MWELEKEO WA TAIFA KWA TEHAMA:HOTUBA YA RAIS WAKATI...
Tazama Zote
Tanzania emblem
Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
9 Mtaa wa Mawasiliano, Mji wa Serikali - Mtumba, S.L.P 677, 40470 Dodoma, Tanzania
ps@mawasiliano.go.tz
+255-26-2324513
+255-26-2963117
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Rasmi ya Rais

  • Bunge la Tanzania

  • Ofisi ya Makamu wa Rais

  • Ofisi ya Waziri Mkuu

  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,

  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

Kurasa za Karibu
  • Matukio

  • postcode-list

  • Ramani ya Mkongo wa Taifa

  • Habari

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WMTH
    © 2025 WMTH, Haki zote zimehifadhiwa.