• English
  • Kiswahili
  • Barua Pepe
  • Wasiliana Nasi
  • e-Vibali
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Maelezo Kuhusu Wizara
    • Dira & Dhima
    • Muundo
  • Idara na Vitengo
    • Idara
      • Uendelezaji wa Mifumo na Huduma za TEHAMA
      • Mawasiliano
      • Sera na Mipango
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Miundombinu ya TEHAMA
      • Usalama wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
  • Sera & Sheria
    • Sera
    • Sheria na Kanuni
    • Mikakati
    • Miongozo
    • Viwango
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Bajeti
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
  • Miradi
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Usalama wa Mtandao
    • TZ-CERT
    • Mikataba ya Makubaliano
    • Mahusiano ya Kimataifa
  • Tafiti & Ubunifu
    • Usajili Wataalam wa TEHAMA
    • Kampuni Changa za TEHAMA
    • Uendelezaji wa Mifumo ya TEHAMA
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Anwani za Makazi
    • NaPA
    • Miongozo
Mhe. Jerry William Silaa
Mhe. Jerry William Silaa
Waziri
Mhe. Mhandisi Maryprisca Winfred Mahundi
Mhe. Mhandisi Maryprisca Winfred Mahundi
Naibu Waziri
Bw. Mohammed Khamis Abdulla
Bw. Mohammed Khamis Abdulla
Katibu Mkuu
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, akimkabidhi kompyuta mpakato kwa Wakili Mkuu wa Serikali, Mhe. Dkt. Ally Possi, kama ishara ya kukabidhi kompyuta mpakato 30 kwa ajili ya ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali. Makabidhiano hayo yamefanyika Agosti 27, 2025, katika ofisi za Wizara hiyo iliopo Mtaa wa Mawasiliano, Mji wa Serikali, Mtumba – Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa, akishuhudia Mtendaji Mkuu wa UCSAF, Mhandisi Peter Mwasalyanda akimkabidhi kompyuta mpakato Postamasta Mkuu Bw. Macrice Mbodo kama ishara ya kukabidhi vifaa vya TEHAMA vyenye thamani ya shilingi Milioni 288 kwa Shirika la Posta Tanzania katika hafla iliyofanyika hoteli ya Johari Rotana jijini Dar es Salaam tarehe 22 Agosti, 2025.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na mwenyekiti wa Kamati Kuu Tendaji ya Mradi wa Tanzania ya Kidijitali (DTP), Bw. Mohammed Khamis Abdulla akizungumza na wajumbe, wageni waalikwa waalikwa na Sekretarieti wakati wa Kikao cha Saba cha Kamati hiyo kilichofanyika Agosti 18, 2025, katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi za Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mji wa Serikali – Mtumba, Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, akiweka mkono kwenye kishikwambi kama ishara ya uzinduzi wa Utambulisho wa Matumizi ya Mfumo wa Anwani za Makazi – Zanzibar, iliyofanyika leo Agosti 16, 2025 katika ukumbi wa Sheikh Idriss Abdul Wakil, Zanzibar.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla (Kushoto) akizungumza na Naibu wake Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa kabla ya kushiriki katika hafla ya uzinduzi wa utambulisho wa matumizi ya Mfumo wa Anwani za Makazi, Zanzibar uliofanyika Agosti 16, 2025 kwenye ukumbi wa Sheikh Idriss Abdul Wakil, Zanzibar.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Baadhi ya watumishi wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wakifanya mazoezi ya viungo baada ya muda wa kazi kumalizika katika viwanja vya ofisi za Wizara hiyo zilizopo mtaa wa Mawasiliano, Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma, Agosti 14, 2025.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, akifuatilia uwasilishwaji wa a Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2025/26, Bungeni jijini Dodoma, leo Juni 12, 2025.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb.), akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakifuatilia uwasilishaji wa Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2025/26, Bungeni jijini Dodoma, leo Juni 12, 2025.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (Mb.), akiwa pamoja na Mawaziri wengine wakifuatilia uwasilishaji wa Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2025/26, Bungeni jijini Dodoma, leo Juni 12, 2025.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (katikati) akiwa na baadhi ya Mawaziri kutoka nchi za Afrika wakijadili kuhusu mustakabali wa Afrika ya kidijiti wakati wa Mkutano wa 14 wa Jukwaa la Afrika la Utawala wa Mtandao (AfIGF 2025), Mei 30, 2025, katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), Dar es Salaam, Tanzania.

Previous Next

Taasisi chini ya Wizara

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Habari Mpya

SERIKALI YAANZA MCHAKATO WA KUANDAA MUONGOZO WA TAIFA WA USIMAMIZI WA DATA KIELEKTRONIKI
SERIKALI YAANZA MCHAKATO WA KUANDAA MUONGOZO WA TAIFA WA USIMAMIZI WA DATA KIELEKTRONIKI
Aug 28, 2025
Na Mwandishi Wetu WMTH-Dodoma Mkurugenzi wa Uendelezaji Mifumo na Huduma za TEHAMA wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohamed Ma...
TANZANIA, QATAR ZAIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA TEHAMA
TANZANIA, QATAR ZAIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA TEHAMA
Aug 28, 2025
Na Mwandishi Wetu, WMTH, Dar es Salaam  Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa, amekutana na kufanya mazungum...
WIZARA YA MAWASILIANO YAKABIDHI KOMPYUTA 30 OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
WIZARA YA MAWASILIANO YAKABIDHI KOMPYUTA 30 OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
Aug 28, 2025
Na Mwandishi Wetu, WMTH – Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, amekabidhi kompyu...
Tazama Zote

Matukio

The 14th Africa Internet Governance Forum (AfIGF 2025)
Apr 21, 2025
JNICC Dar es Salaam
MADHIMISHO YA WIKI YA ANWANI ZA MAKAZI
Jan 30, 2025
UKUMBI WA MIKUTANO...
KONGAMANO LA C2C (CONNECT TO CONNECT)
Sep 17, 2024
GRAN MELIÁ - ARUSHA
TRAINING PLAN FOR DTP SHORT COURSES FY 2024/25
Sep 07, 2024
DSM - TaGLA, Arusha...
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    16
  • Mikakati
    3
  • Usalama Mtandao
    6
  • Kanuni
    10
  • Ripoti
    12
pdf-128
16 May 2025

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA JERRY WILLIAM SILAA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
20 Jan 2025

STATEMENT BY HON. JERRY WILLIAM SILAA (MP), MINISTER FOR COMMUNICATIONS AND INFORMATION TECHNOLOGY IN UNITED REPUBLIC OF TANZANIA ON THE 45TH ANNIVERSARY OF THE PAN AFRICAN POSTAL UNION (PAPU) DAY, 18TH JANUARY, 2025


Soma zaidi
pdf-128
20 Jan 2025

TAMKO LA MHESHIMIWA JERRY WILLIAM SILAA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA MAADHIMISHO YA 45 YA SIKU YA UMOJA WA POSTA AFRIKA TAREHE 18 JANUARI, 2025


Soma zaidi
pdf-128
09 Oct 2024

MESSAGE FROM HON. JERRY WILLIAM SILAA (MP), THE MINISTER FOR INFORMATION, COMMUNICATIONS AND INFORMATION TECHNOLOGY ON THE COMMEMORATION OF WORLD POST DAY, 9TH OCTOBER, 2024


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

05th Aug, 2025
WANANCHI WAKARIBISHWA KUTEMBELEA BANDA LA WIZARA Y...
24th Nov, 2024
SERIKALI YAKUTANA NA WADAU KUJADILI HALI YA USALAM...
23rd Nov, 2024
TEF YAMPONGEZA WAZIRI KUUNDA BODI YA ITHIBATI YA W...
22nd Nov, 2024
Waziri Silaa Azungumza na Umoja wa Haki ya Kupata...
Tazama Zote
Tanzania emblem
Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
S.L.P 677, 1 Mtaa wa Ujenzi, 40470 Dodoma
ps@mawasiliano.go.tz
+255-26 2324513
+255-262 963117
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Rasmi ya Rais

  • Bunge la Tanzania

  • Ofisi ya Makamu wa Rais

  • Ofisi ya Waziri Mkuu

  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,

  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

Kurasa za Karibu
  • Matukio

  • postcode-list

  • Ramani ya Mkongo wa Taifa

  • Habari

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WMTH
    © 2025 WMTH, Haki zote zimehifadhiwa.