• English
  • Kiswahili
  • Barua Pepe
  • Wasiliana Nasi
  • e-Vibali
  • e-Malalamiko
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Maelezo Kuhusu Wizara
    • Dira & Dhima
    • Muundo
  • Idara na Vitengo
    • Idara
      • Uendelezaji wa Mifumo na Huduma za TEHAMA
      • Mawasiliano
      • Sera na Mipango
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Miundombinu ya TEHAMA
      • Usalama wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
  • Sera & Sheria
    • Sera
    • Sheria na Kanuni
    • Mikakati
    • Miongozo
    • Viwango
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Bajeti
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
  • Miradi
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Usalama wa Mtandao
    • TZ-CERT
    • Mikataba ya Makubaliano
    • Mahusiano ya Kimataifa
  • Tafiti & Ubunifu
    • Usajili Wataalam wa TEHAMA
    • Kampuni Changa za TEHAMA
    • Uendelezaji wa Mifumo ya TEHAMA
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Anwani za Makazi
    • NaPA
    • Miongozo
  • Kongamano la TACPA 2026
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Waziri
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Naibu Waziri
Bw. Mohammed Khamis Abdulla
Bw. Mohammed Khamis Abdulla
Katibu Mkuu
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), tarehe 14 Januari 2026, amekutana na kuzungumza na mtengeneza maudhui ya mtandaoni, Vicent Pendael Njau (KIREDIO), katika ofisi za Wizara, Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), tarehe 9 Januari, 2026 ametembelea kampuni changa ya TEHAMA (Startup) Westerwelle Startups Haus Arusha kwa lengo la kujionea bunifu zao na kusaidia kutatua changamoto zinazowakabili ili ziweze kampuni hizo ziweze kukua na kuchangia maendeleo ya sekta ya TEHAMA nchini.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), tarehe 9 Januari, 2026 alitembelea Kituo cha Ubunifu cha TWENDE HUB kwa lengo la kujionea bunifu mbalimbali zilizotengenezwa na vijana zinazochangia maendeleo ya uchumi wa Kidijitali nchini.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Bhaba, Bw. Agrey Agustino Mbwana, wakionesha aplikesheni ya kununua bidhaa mtandaoni, alipotembelea kampuni changa ya TEHAMA (startup) ya Westerwelle Startups Haus Arusha kwa lengo la kujionea bunifu mbalimbali za vijana tarehe 9 Januari 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akikabidhi vyeti kwa washiriki wa Mafunzo Maalum kwa Maafisa wa Ulinzi wa Taarifa Binafsi, tarehe 8 Januari 2026, katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC).

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasilino na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akiongoza Kikao Kazi cha Wizara pamoja na Taasisi zilizopo chini ya Wizara kujadili utekelezaji wa bajeti kwa kipindi cha nusu mwaka (Julai 2025 hadi Disemba 2025) leo Januari 8, 2026, Jijini Arusha.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akiwa pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Bw. Mohammed Khamis Abdulla wakiwasili kwa ajili ya kikao kazi cha Wizara pamoja na Taasisi zilizopo chini ya Wizara kujadili utekelezaji wa bajeti kwa kipindi cha nusu mwaka (Julai 2025 hadi Disemba 2025), Januari 8, 2026, Jijini Arusha

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), amefanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Nje wa Vodacom Group, Bw. Ayman Essam katika ofisi za Wizara zilizopo Mtumba, Dodoma, Januari 06, 2026.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bi. Salome Kessy, akifungua mafunzo maalum kwa Watumishi wa Wizara hiyo kuhusu Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (PSSSF), Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) na Mfuko wa Wawekezaji wa Pamoja (UTT-AMIS), tarehe 17 Desemba, 2025, Mtumba-Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Timu ya Wataalam kutoka Tanzania ikiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya TEHAMA, Dkt. Nkundwe Mwasaga imetembelea Kituo cha Kudhibiti Utapeli wa Mtandaoni (AOC – Anti Online Scam Operation Center) nchini Thailand kwa lengo la kujifunza kwa kina namna kituo hicho kinavyofanya kazi kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali katika kupambana na uhalifu wa mtandaoni. Ziara hiyo imefanyika tarehe 18 Desemba, 2025 imewawezesha wataalam kujionea kwa vitendo mifumo na taratibu zinazotumika katika ufuatiliaji, udhibiti na ushughulikiaji wa matukio ya utapeli wa mtandaoni kwa ufanisi.

Previous Next

Taasisi chini ya Wizara

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Habari Mpya

Serikali Yaahidi Mazingira Wezeshi kwa Watengeneza Maudhui Mtandaoni
Serikali Yaahidi Mazingira Wezeshi kwa Watengeneza Maudhui Mtandaoni
Jan 15, 2026
Na Mwandishi Wetu, WMTH – Dodoma   Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), amesema...
Serikali Yapongezwa Kwa Mageuzi Makubwa Katika Sekta Ya Mawasiliano Nchini
Serikali Yapongezwa Kwa Mageuzi Makubwa Katika Sekta Ya Mawasiliano Nchini
Jan 10, 2026
Na Mwandishi Wetu, WMTH – Arusha   Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), amefanya...
WAZIRI KAIRUKI AMPONGEZA MBUNIFU WA APLIKESHENI YA KUNUNUA BIDHAA MTANDAONI
WAZIRI KAIRUKI AMPONGEZA MBUNIFU WA APLIKESHENI YA KUNUNUA BIDHAA MTANDAONI
Jan 10, 2026
Na Mwandishi Wetu, WMTH – Arusha   Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), alitembe...
Tazama Zote

Matukio

Mkutano Mkuu wa 28 wa Umoja wa Posta Duniani
Sep 08, 2025
Dubai
The 14th Africa Internet Governance Forum (AfIGF 2025)
Apr 21, 2025
JNICC Dar es Salaam
MADHIMISHO YA WIKI YA ANWANI ZA MAKAZI
Jan 30, 2025
UKUMBI WA MIKUTANO...
KONGAMANO LA C2C (CONNECT TO CONNECT)
Sep 17, 2024
GRAN MELIÁ - ARUSHA
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    19
  • Mikakati
    3
  • Usalama Mtandao
    6
  • Kanuni
    13
  • Ripoti
    12
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN, WAKATI WA KUFUNGUA RASMI BUNGE LA 13 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA MHE. JERRY SILAA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI WAKATI WA HAFLA YA KUKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KWA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
16 May 2025

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA JERRY WILLIAM SILAA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
15 Nov 2025

HOTUBA YA MHE.WAZIRI JERRY SILAA KATIKA UZINDUZI WA BODI YA UCSAF


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

14th Jan, 2026
SERIKALI YAAHIDI MAZINGIRA WEZESHI KWA WATENGENEZA...
14th Jan, 2026
WAZIRI KAIRUKI AZUNGUMZA NA MTENGENEZA MAUDHUI YA...
08th Jan, 2026
SERIKALI YATOA MAAGIZO KUHUSU USAJILI WA WAKUSANYA...
15th Dec, 2025
WAZIRI KAIRUKI AKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KWA WIZAR...
Tazama Zote
Tanzania emblem
Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
9 Mtaa wa Mawasiliano, Mji wa Serikali - Mtumba, S.L.P 677, 40470 Dodoma, Tanzania
ps@mawasiliano.go.tz
+255-26-2324513
+255-26-2963117
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Rasmi ya Rais

  • Bunge la Tanzania

  • Ofisi ya Makamu wa Rais

  • Ofisi ya Waziri Mkuu

  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,

  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

Kurasa za Karibu
  • Matukio

  • postcode-list

  • Ramani ya Mkongo wa Taifa

  • Habari

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WMTH
    © 2026 WMTH, Haki zote zimehifadhiwa.