• English
  • Kiswahili
  • Barua Pepe
  • Wasiliana Nasi
  • e-Vibali
  • e-Malalamiko
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Maelezo Kuhusu Wizara
    • Dira & Dhima
    • Muundo
  • Idara na Vitengo
    • Idara
      • Uendelezaji wa Mifumo na Huduma za TEHAMA
      • Mawasiliano
      • Sera na Mipango
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Miundombinu ya TEHAMA
      • Usalama wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
  • Sera & Sheria
    • Sera
    • Sheria na Kanuni
    • Mikakati
    • Miongozo
    • Viwango
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Bajeti
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
  • Miradi
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Usalama wa Mtandao
    • TZ-CERT
    • Mikataba ya Makubaliano
    • Mahusiano ya Kimataifa
  • Tafiti & Ubunifu
    • Usajili Wataalam wa TEHAMA
    • Kampuni Changa za TEHAMA
    • Uendelezaji wa Mifumo ya TEHAMA
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Anwani za Makazi
    • NaPA
    • Miongozo
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Waziri
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Naibu Waziri
Bw. Mohammed Khamis Abdulla
Bw. Mohammed Khamis Abdulla
Katibu Mkuu
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bi. Salome Kessy, akifungua mafunzo maalum kwa Watumishi wa Wizara hiyo kuhusu Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (PSSSF), Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) na Mfuko wa Wawekezaji wa Pamoja (UTT-AMIS), tarehe 17 Desemba, 2025, Mtumba-Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Timu ya Wataalam kutoka Tanzania ikiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya TEHAMA, Dkt. Nkundwe Mwasaga imetembelea Kituo cha Kudhibiti Utapeli wa Mtandaoni (AOC – Anti Online Scam Operation Center) nchini Thailand kwa lengo la kujifunza kwa kina namna kituo hicho kinavyofanya kazi kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali katika kupambana na uhalifu wa mtandaoni. Ziara hiyo imefanyika tarehe 18 Desemba, 2025 imewawezesha wataalam kujionea kwa vitendo mifumo na taratibu zinazotumika katika ufuatiliaji, udhibiti na ushughulikiaji wa matukio ya utapeli wa mtandaoni kwa ufanisi.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Tarehe 16 Desemba 2025: Timu ya wataalamu kutoka Tanzania wakiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya TEHAMA, Dkt. Nkundwe Mwasaga, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kutembelea National Board of Digital Economy and Society Office (BDE) nchini Thailand. Ziara hiyo ililenga kujifunza uandaaji wa Akaunti ya Uchumi wa Kidijitali, ikiwemo ufafanuzi wa maana, mawanda ya uchumi wa kidijitali, vyanzo vya takwimu vinavyotumika, pamoja na hatua muhimu za maandalizi na utekelezaji.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Tarehe 19 Desemba 2025: Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Dkt. Switbert Mkama (Mb), akiongoza ujumbe wa Tanzania katika ziara ya kikazi Korea Kusini, kujadili uanzishwaji wa Chuo Mahiri cha TEHAMA Jijini Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akikabidhi Vifaa vya TEHAMA kwa Bw. Sylvester Mwakitalu, Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) katika Hafla ya Makabidhiano ya Vifaa vya TEHAMA kwa Wizara ya Katiba na Sheria na taasisi zilizo chini ya Wizara hiyo, tarehe 15 Disemba 2025, Mtumba, jijini Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), alipowasili katika Ofisi za Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) na kupokelewa na Mtendaji Mkuu wa Mfuko huo, Mhandisi Peter Mwasalyanda, pamoja na viongozi wengine, ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kikazi, tarehe 15 Disemba 2025, jijini Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akikabidhi Vifaa vya TEHAMA kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Bw. Eliakim Maswi katika Hafla ya Makabidhiano ya Vifaa vya TEHAMA kwa Wizara ya Katiba na Sheria na taasisi zilizo chini ya Wizara hiyo, tarehe 15 Disemba 2025, Mtumba, jijini Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Bw. Eliakim Maswi, pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, mara baada ya Hafla ya Makabidhiano ya Vifaa vya TEHAMA kwa Wizara ya Katiba na Sheria na taasisi zilizo chini ya Wizara hiyo, tarehe 15 Disemba 2025, Mtumba, jijini Dodoma.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akipokea maelezo kuhusu utendaji kazi wa Kituo cha Uendeshaji wa Mtandao (Network Operations Center) tarehe 12 Desemba 2025, wakati wa ziara yake ya kikazi katika kampuni ya TowerCo of Africa inayojihusisha na ujenzi wa miundombinu ya mawasiliano, jijini Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki(Mb) pamoja na Naibu Waziri Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb) wakipokea maelezo kutoka kituo cha uendeshaji wa mitamb (NOC) wakati wa ziara yake ya kikazi katika Kampuni ya Minara Tanzania, tarehe 12 Desemba 2025, jijini Dar es Salaam.

Previous Next

Taasisi chini ya Wizara

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Habari Mpya

Timu ya Wataalamu wa TEHAMA na Taasisi za Serikali Imefanya Ziara ya Mafunzo Nchini Thailand Kuhusu...
Timu ya Wataalamu wa TEHAMA na Taasisi za Serikali Imefanya Ziara ya Mafunzo Nchini Thailand Kuhusu...
Dec 19, 2025
Timu ya wataalamu kutoka Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Wizara ya Fedha, Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS),...
Tanzania Yapanua Ushirikiano wa TEHAMA na Korea Kusini, Kuanzisha Chuo Mahiri cha TEHAMA Jijini Dodo...
Tanzania Yapanua Ushirikiano wa TEHAMA na Korea Kusini, Kuanzisha Chuo Mahiri cha TEHAMA Jijini Dodo...
Dec 19, 2025
Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb), ameongoza ujumbe wa Tanzania katika ziara ya kikazi nchin...
Serikali Yataka Wananchi Waelimishwe Kuhusu Ulinzi wa Taarifa Binafsi
Serikali Yataka Wananchi Waelimishwe Kuhusu Ulinzi wa Taarifa Binafsi
Dec 16, 2025
Na Mwandishi Wetu, WMTH-Dodoma   Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mberwa Kairuki (Mb), tarehe 15 Disemb...
Tazama Zote

Matukio

Mkutano Mkuu wa 28 wa Umoja wa Posta Duniani
Sep 08, 2025
Dubai
The 14th Africa Internet Governance Forum (AfIGF 2025)
Apr 21, 2025
JNICC Dar es Salaam
MADHIMISHO YA WIKI YA ANWANI ZA MAKAZI
Jan 30, 2025
UKUMBI WA MIKUTANO...
KONGAMANO LA C2C (CONNECT TO CONNECT)
Sep 17, 2024
GRAN MELIÁ - ARUSHA
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    19
  • Mikakati
    3
  • Usalama Mtandao
    6
  • Kanuni
    13
  • Ripoti
    12
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN, WAKATI WA KUFUNGUA RASMI BUNGE LA 13 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA MHE. JERRY SILAA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI WAKATI WA HAFLA YA KUKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KWA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
16 May 2025

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA JERRY WILLIAM SILAA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
15 Nov 2025

HOTUBA YA MHE.WAZIRI JERRY SILAA KATIKA UZINDUZI WA BODI YA UCSAF


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

15th Dec, 2025
WAZIRI KAIRUKI AKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KWA WIZAR...
15th Dec, 2025
WIZARA YA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI YATO...
15th Dec, 2025
WAZIRI KAIRUKI ASISITIZA UCSAF KUBORESHA HUDUMA ZA...
15th Dec, 2025
WAZIRI KAIRUKI ASISITIZA RUZUKU YA MAWASILIANO KUE...
Tazama Zote
Tanzania emblem
Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
9 Mtaa wa Mawasiliano, Mji wa Serikali - Mtumba, S.L.P 677, 40470 Dodoma, Tanzania
ps@mawasiliano.go.tz
+255-26-2324513
+255-26-2963117
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Rasmi ya Rais

  • Bunge la Tanzania

  • Ofisi ya Makamu wa Rais

  • Ofisi ya Waziri Mkuu

  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,

  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

Kurasa za Karibu
  • Matukio

  • postcode-list

  • Ramani ya Mkongo wa Taifa

  • Habari

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WMTH
    © 2025 WMTH, Haki zote zimehifadhiwa.