• English
  • Kiswahili
  • Barua Pepe
  • Wasiliana Nasi
  • e-Vibali
  • e-Malalamiko
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Maelezo Kuhusu Wizara
    • Dira & Dhima
    • Muundo
  • Idara na Vitengo
    • Idara
      • Uendelezaji wa Mifumo na Huduma za TEHAMA
      • Mawasiliano
      • Sera na Mipango
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Miundombinu ya TEHAMA
      • Usalama wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
  • Sera & Sheria
    • Sera
    • Sheria na Kanuni
    • Mikakati
    • Miongozo
    • Viwango
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Bajeti
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
  • Miradi
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Usalama wa Mtandao
    • TZ-CERT
    • Mikataba ya Makubaliano
    • Mahusiano ya Kimataifa
  • Tafiti & Ubunifu
    • Usajili Wataalam wa TEHAMA
    • Kampuni Changa za TEHAMA
    • Uendelezaji wa Mifumo ya TEHAMA
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Anwani za Makazi
    • NaPA
    • Miongozo
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb)
Waziri
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama (Mb)
Naibu Waziri
Bw. Mohammed Khamis Abdulla
Bw. Mohammed Khamis Abdulla
Katibu Mkuu
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Bw. Nicholaus Merinyo Mkapa
Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi wa Wizara na Menejimenti ya Halotel Tanzania mara baada ya ziara yake katika Makao Makuu ya Halotel Tanzania tarehe 11 Desemba 2025, jijini Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Wizara ya Mawasiliano na teknolojia ya Habari Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki(Mb) alipowasili katika ofisi za Halotel Tanzania ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kikazi kwa watoa huduma za mawasiliano tarehe 11 Disemba 2025, jijini Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), ametembelea na kuzungumza na wafanyakazi wa YAS Tanzania mara baada ya kufanya ziara ya kikazi katika ofisi hizo, tarehe 11 Desemba 2025, jijini Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akiagana na Mkurugenzi wa Airtel Tanzania, Bw. Charles Kamoto mara baada ya zara yaka ya kikazoi patika kampını hiyo tarehe 10 Desemba 2025, jijini Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akiteta jambo na Naibu Waziri wa wizara hiyo, Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama, pamoja na Katibu Mtendaji wa Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano Tanzania (TCRA-CCC), Bi. Mary Shao Msuya, wakati wa ziara yake ya kikazi katika ofisi za Baraza hilo tarehe 08 Desemba 2025 jijini Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akipokea taarifa ya awali kutoka kwa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), Mhandisi Peter Mwasalianda alipowasili katika hafla ya utiaji saini wa mikataba ya kufikisha huduma za mawasiliano ya simu vijijini – Awamu ya Kumi (10), kati ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote(UCSAF) na Watoa Huduma za Mawasiliano. Hafla hii imefanyika , tarehe 5 Desemba 2025, katika Ukumbi wa JNICC, Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akipokelewa na viongozi mbalimbali alipowasili katika hafla ya utiaji saini wa mikataba ya kufikisha huduma za mawasiliano ya simu vijijini – Awamu ya Kumi (10), kati ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote(UCSAF) na Watoa Huduma za Mawasiliano. Hafla hii imefanyika, tarehe 5 Desemba 2025, katika Ukumbi wa JNICC, Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Wizara pamoja na Menejimenti ya Tume ya TEHAMA (ICTC) wakati wa ziara yake ya kikazi iliyofanyika tarehe 2 Desemba 2025 katika ofisi hizo jijini Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, akifafanua jambo wakati Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), alipokutana na kuzungumza na Menejimenti ya Tume ya TEHAMA (ICT Commission), akiwa katika ziara yake ya kikazi iliyofanyika tarehe 02 Desemba 2025, jijini Dar es Salaam.

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), akizungumza na wananchi waliofika kupata huduma katika ofisi za Shirika la Posta Tanzania, Mkoa wa Dar es Salaam, wakati wa ziara yake ya kikazi katika ofisi hizo, tarehe 27 Novemba 2025.

Previous Next

Taasisi chini ya Wizara

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Habari Mpya

Waziri Kairuki: Huduma Nafuu na Bora ni Kipaumbele kwa Watumiaji wa Mawasiliano
Waziri Kairuki: Huduma Nafuu na Bora ni Kipaumbele kwa Watumiaji wa Mawasiliano
Dec 12, 2025
Na Mwandishi Wetu – WMTH, Dar es Salaam Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), ameitaka Ha...
Serikali Itaendelea Kuweka Mazingira Bora kwa Uwekezaji wa Huduma za Mawasiliano.
Serikali Itaendelea Kuweka Mazingira Bora kwa Uwekezaji wa Huduma za Mawasiliano.
Dec 12, 2025
Na Mwandishi Wetu, WMTH-Dar es Salaam. Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), ametembelea Kamp...
Waziri Kairuki aagiza kuimarisha kwa fursa na ubunifu wa TEHAMA nchini.
Waziri Kairuki aagiza kuimarisha kwa fursa na ubunifu wa TEHAMA nchini.
Dec 11, 2025
Na Mwandishi Wetu – WMTH, Dar es Salaam Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), ameitaka Ka...
Tazama Zote

Matukio

Mkutano Mkuu wa 28 wa Umoja wa Posta Duniani
Sep 08, 2025
Dubai
The 14th Africa Internet Governance Forum (AfIGF 2025)
Apr 21, 2025
JNICC Dar es Salaam
MADHIMISHO YA WIKI YA ANWANI ZA MAKAZI
Jan 30, 2025
UKUMBI WA MIKUTANO...
KONGAMANO LA C2C (CONNECT TO CONNECT)
Sep 17, 2024
GRAN MELIÁ - ARUSHA
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    19
  • Mikakati
    3
  • Usalama Mtandao
    6
  • Kanuni
    13
  • Ripoti
    12
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN, WAKATI WA KUFUNGUA RASMI BUNGE LA 13 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
14 Nov 2025

HOTUBA YA MHE. JERRY SILAA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI WAKATI WA HAFLA YA KUKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KWA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA.


Soma zaidi
pdf-128
16 May 2025

HOTUBA YA WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI MHESHIMIWA JERRY WILLIAM SILAA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
15 Nov 2025

HOTUBA YA MHE.WAZIRI JERRY SILAA KATIKA UZINDUZI WA BODI YA UCSAF


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

11th Dec, 2025
MINISTER ANGELLAH KAIRUKI APPLAUDS YAS TANZANIA’S...
11th Dec, 2025
MINISTER KAIRUKI HAILS 10 YEARS OF HALOTEL INVESTM...
10th Dec, 2025
WAZIRI KAIRUKI AISISITIZIA AIRTEL KUIMARISHA UWEKE...
08th Dec, 2025
SERIKALI KUBORESHA USIMAMIZI WA MALALAMIKO YA MAWA...
Tazama Zote
Tanzania emblem
Katibu Mkuu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
9 Mtaa wa Mawasiliano, Mji wa Serikali - Mtumba, S.L.P 677, 40470 Dodoma, Tanzania
ps@mawasiliano.go.tz
+255-26-2324513
+255-26-2963117
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Rasmi ya Rais

  • Bunge la Tanzania

  • Ofisi ya Makamu wa Rais

  • Ofisi ya Waziri Mkuu

  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,

  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

Kurasa za Karibu
  • Matukio

  • postcode-list

  • Ramani ya Mkongo wa Taifa

  • Habari

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WMTH
    © 2025 WMTH, Haki zote zimehifadhiwa.