Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Habari

TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA G20 PUNE, INDIA


Ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya HMTH, Bw. Mohammed Khamis Abdulla unashiriki  Mkutano wa G20 Digital Economy Working Group unaofanyika katika  mji wa Pune nchini India, Juni 12 - 13, 2023.

Kufuatilia mkutano huo mubashara scan QR code hapo juu na kupata link itakayokupeleka moja kwa moja kwenye Mkutano huo.