Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Habari

HABARI PICHA ZA JUKWAA LA MAJADILIANO YA KITAIFA YA VIJANA KUHUSU JINSI YA KUWA SALAMA MTANDAONI


Picha za matukio mbalimbali ya Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mhandisi Mathew Andrea Kundo (Mb) alipokuwa anafungua majadiliano ya Kitaifa ya Vijana kuhusu jinsi ya kuwa salama Mtandaoni katika ukumbi wa CIVE AUDITORIUM (UDOM) Leo tarehe 18, Novemba,2023

Majadiliano hayo yameandaliwa ma Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na UNESCO.